Quote image editor
“Baada ya kuomba, tendo ambalo unapaswa kulifanya kila siku, endelea kuomba kwa kushukuru na kumsifu Mungu hadi jibu lako litakapofika. Kwani, ulivyoomba mara ya kwanza Mungu alikusikia na alikujibu papo hapo!” — Enock Maregesi
Baada ya kuomba, tendo ambalo unapaswa kulifanya kila siku, endelea kuomba kwa kushukuru na kumsifu Mungu hadi jibu lako litakapofika. Kwani, ulivyoomba mara ya kwanza Mungu alikusikia na alikujibu papo hapo!