Quote image editor
“Mungu anachotaka kutoka kwako ni kuzitambua dhambi zako na kuziungama. Yesu alikuwa dhambi kwa ajili yetu. Alikubali kulaumiwa badala ya sisi kulaumiwa. Omba maghufira kwa Mungu kwa makosa uliyofanya.” — Enock Maregesi
Mungu anachotaka kutoka kwako ni kuzitambua dhambi zako na kuziungama. Yesu alikuwa dhambi kwa ajili yetu. Alikubali kulaumiwa badala ya sisi kulaumiwa. Omba maghufira kwa Mungu kwa makosa uliyofanya.