Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Kila binadamu ana nguvu ya ziada katika mwili wake ijulikanayo kitaalamu kama ATP. ATP (‘Adenosine Triphosphate’) ni molekuli ndogo zaidi iliyoko ndani ya seli ambayo kazi yake ni kutengeneza nguvu ya ziada kwa ajili ya seli, na kwa ajili ya mwili mzima kwa jumla, pale mwili unapoonekana kukata tamaa au kuishiwa na nguvu kabisa. Ni kama jenereta ya umeme kwa ajili ya seli, inayofanya kazi pale umeme wa kawaida unapokatika.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“It could be said of Mr Schaeffer that in his life he'd done only one really bad thing: he'd killed a man. The circumstances of that deed are unimportant, expect to say that the man deserved to die and that for it Mr Schaeffer was sentenced to ninety-nnie years and a day. For a long while - for many years, in fact - he had not thought of how it was before he came to the farm. His memory of those times was like a house where no one lives and where the furniture has rotted away. But tonight it was as if lamps had been lighted through all the gloomy dead rooms. It had begun to happen when he saw Tico Feo coming through the dusk with his splendid guitar. Until that moment he had not been lonesome. Now, recognising his loneliness, he felt alive. He had not wanted to be alive. To be alive was to remember brown rivers where the fish run, and sunlight on a lady's hair.”