Related Quotes
“Katika karne hii watu watawapenda zaidi marafiki kuliko ndugu.”
“Wakati mwingine tukitaka kutambulika hatuna budi kuweka mbele aibu ya heshima yetu.”
“People don't follow ordinary people; they follow extraordinary people.”
“Poverty and worldly wealth are the sources of spiritual poverty.”
“Nimewapa watoto wangu kila kitu katika maisha isipokuwa umaskini. Lakini bado wamenishinda.”
“Maskini mwenye pesa nyingi ni tajiri bahili. Tajiri mwenye mifuko iliyotoboka ni tajiri badhiri.”
“Mtu anayesema pesa haijampa furaha hana nia ya kusaidia watu.”
“Toa msaada katika jamii iliyosaidia kukulea ulipokuwa mdogo.”
Source: Kolonia Santita