“Nimewapa watoto wangu kila kitu katika maisha isipokuwa umaskini. Lakini bado wamenishinda.”
Enock Maregesi Quotes
Browse 30 quotes about Enock Maregesi.
Enock Maregesi Quotes
“Maskini mwenye pesa nyingi ni tajiri bahili. Tajiri mwenye mifuko iliyotoboka ni tajiri badhiri.”
“Toa msaada katika jamii iliyosaidia kukulea ulipokuwa mdogo.”
“Ukiipenda sana nchi yako ni rahisi sana kuichukia serikali yake!”
“Ukitaka kufanikiwa katika maisha yako kuwa tayari kuitwa mjinga au mpumbavu.”
“Beroendet är inte om att använda droger. Det handlar om vad läkemedlet gör att ditt liv.”
“Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia.”