Quotessence
Home / Topics / Satan Quotes

Satan Quotes

Browse 1232 quotes about Satan.

Related topics

Satan Quotes

“Any halfway clever devil would decorate the highway to Hell as beautiful as possible.”

“Power is a dangerous drug, a thirst that is never quenched. It promises but it takes more than it gives. Friends are divided by it, wars are fought over it, churches split because of it, and Satan will tempt you to sell your soul for it.”

“Kabla ya uasi, Mungu alimpa Shetani na wasaidizi wake ambao ni mapepo mamlaka makubwa juu ya kila kitu hapa duniani; kuanzia angahewa la dunia hadi ardhi ya dunia nzima nasi wakazi wake tukijumuishwa. Abadani tusisahau kwamba, kwa kiasi kikubwa, kupambana kwetu kama Paulo anavyosema ni dhidi ya hawa mapepo na mfalme wao ambaye ni Shetani. Tunaishi katika eneo ambapo hata wao wanaishi. Hawa mapepo wabaya huwatumia maadui wa msalaba wa Yesu Kristo kutekeleza mipango yao kwa lengo la kuwaangamiza marafiki wote wa msalaba wa Yesu Kristo, wanashawishiwa kwa kiasi kikubwa na hizo mamlaka za kimapepo, na kwa sababu wamedanganywa, hawajui hata kidogo kama Shetani anawatumia! Inawezekana hawajatwaliwa na mapepo lakini wanashawishiwa na mapepo kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu kwa wanadamu wote.”

“A utopian system, when established by men, is likely to be synonymous with a dystopian depression. The only way for perfect peace by man is absolute control of all wrongs. Bully-cultures find this: with each and every mistake, another village idiot is shamed into nothingness and mindlessly shut down by the herd. This is a superficial peace made by force and by fear, one in which there is no freedom to breathe; and the reason it is impossible for man to maintain freedom and peace for everyone at the same time. Christ, on the other hand, transforms, instead of controls, by instilling his certain inner peace. This is the place where one realizes that only his holiness is and feels like true freedom, rather than like imprisonment, and, too, why Hell, I imagine, a magnified version of man's never-ending conflict between freedom and peace, would be the flesh's ultimate utopia - yet its ultimate regret.”

“Realizing the seriously ruthless, venomous habits and agendas of evil always instills a more fierce passion and longing for a closer God. Men, out of pride, may claim their own authorities over what constitutes good and evil; they may self-proclaim a keen knowledge of subjective morality through religion or science. But that is only if they are acknowledging the work of evil as a cartoon-like, petty little rain cloud in the sky that merely wants to dampen one's spirits. On the contrary, a man could be without a doubt lit with the strength, the peace, and the knowledge of the gods, his gods, but when or if the devils grow weary in unsuccessful attempts to torment him, they begin tormenting his loved ones, or, if not his loved ones, anyone who may attempt to grasp his philosophies. No matter how godly he may become, God is, in the end, his only hope and his only grace for the pressures built around him - it is left up to a higher authority and a more solid peace and a wider love to eclipse not just one's own evils but all evils for goodness to ultimately matter. If all men were gods, each being would dwell in a separate prison cell, hopeless, before finally imploding into nothingness.”

“Never mistake the uncomfortable feeling of insecurity and the fear of the unknown with the Holy Ghost’s promptings. Sometimes those feelings are simply Satan keeping you stuck where you are because he knows you will have a half-life there. He knows that you will spend half of your life disconnected, discontented and convincing your mind of what its heart will never accept. He knows when you have settled, gave up and didn’t try. Inaction is his greatest weapon, while regret is his second.”

“Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.”

“Don't Let The Devil Hear You Weeping by Stewart Stafford Don't let the Devil hear you weeping, Or darkness comes as your friend, Saying God sent it to save you, And be with you until the end. Tail wrapped around you snugly, Gripped firmly in meaty claws, Only then get its beastly odour, Against which there should be laws. Dancing the inferno's fiery rim, Spitting bile in your begging bowl, Paper cut, a blood pact union, To steal away your purest soul. © Stewart Stafford, 2024. All rights reserved.”

“The intensity of this cultural shame demanded a poster boy who would deter ‘bestial’ human behaviours and presentation, and so to the genesis of Satan, ‘the beast’ – a carnal, hairy, lascivious, malevolent, stinking satyr capable of taking sexually suggestive serpentine form: the humanising of the mammalian self.”

“Evil travels—like all energy, it transfers between people and objects; it moves, gets stored, moves again. But where did it originate? When Eve ate the apple? Or before that, with Satan, that fallen seraph who took the form of a snake and whispered with slithering tongue into her ear? Did she birth it or was it thrust upon us by some insufflating malefic serpent? Is it man-made or a supernatural force?”

“Would anyone on earth seriously like to defend Abraham – the would-be child killer, the father who unquestioningly agreed to murder his own son because a voice told him to? How can any person on earth regard this person with anything other than the most extreme revulsion? He is not a “good” man. He is the worst man conceivable.”

“[...] In a lot of ways, I guess Satan was the first superhero.” “Don’t you mean supervillain?” “Nah. Hero, for sure. Think about it. In his first adventure, he took the form of a snake to free two prisoners being held naked in a Third World jungle prison by an all-powerful megalomaniac. At the same time, he broadened their diet and introduced them to their own sexuality. Sounds kind of like a cross between Animal Man and Dr. Phil to me.”

“16. Christians should never consult astrologers, psychics, or those who practice witchcraft (see Isaiah 47:13-14). They are usually phonies who only pretend to have extrasensory powers. But in some cases, they are working in cooperation with Satan. Rather than tamper with this evil world, the one true God wants us to bring our needs, problems, and decisions to Him. He has promised to lead us into all truth (see John 8:32).”

“Shahidi mwaminifu na wa kweli anayajua mambo yetu yote tangu kuumbwa hadi mwisho wa dunia yetu. Kwa hiyo, ni kweli unabii lazima utimie. Mungu anataka tuwe na amani ndani ya mioyo yetu lakini anajua si jambo rahisi kwa sababu ya hila za Shetani. Shetani asingekuwepo amani ingekuwepo; watakatifu wasingekuwepo, dunia isingekuwepo. Lakini mlango wa rehema bado haujafungwa. Bado tuna uhuru wa kuchagua mema dhidi ya mabaya.”

“You will ever depress the devil if you always love those who spit hatred into your face. The devil loves vengeance and anything contrary to this is an agenda to bring down his temporal kingdom!”

“Hasanati ni matendo mema. Mema yanatoka kwa Mungu. Mabaya yanatoka kwa Shetani. Mke mwema anatoka kwa Mungu. Mke mbaya anatoka kwa Shetani. Mke mwema ana hekima na busara, ana maadili na tabia njema, ana utu na uchapakazi, ana wema na upendo, na ana aibu kwa wanaume.”

“Nguvu za hasi ni mawazo mabaya, na nguvu za chanya ni mawazo mazuri. Nguvu za hasi ni Shetani, kwa vile Shetani ndiye anayeleta mabaya. Nguvu za chanya ni Mungu, kwa vile Mungu ndiye anayeleta mazuri. Katika dunia hii utapambana na Shetani lakini hutamshinda, kwani hapa ndipo anapotawala. Pambana na Shetani katika dunia ya kiroho, kwa maana ya maombi na utiifu kamili kwa Mwenyezi Mungu, kama unataka kuzishinda nguvu zake.”

“Mungu hakutuumba ili tuwe roboti, ambayo hufanya kazi kama ilivyoelekezwa. Alituumba ili tuwe huru. Yaani, tuwe na uwezo wa kuchagua mema au mabaya – ndiyo maana akaweka Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya katika Bustani ya Edeni – ndiyo maana akamtuma Shetani kuwajaribu Adamu na Hawa, wazazi wetu wa kwanza.”

“Angels are good not simply because they see bad as bad, but also because they see bad as corny.”

“Never stand in the way of letting God use people’s actions, in order to solve a greater issue in the world.”

“Hasira ni Shetani. Hekima ni Mungu. Kila kitu kimo ndani yetu. Hasira imo ndani yetu. Hekima imo ndani yetu. Atomu ni matofali ya ujenzi wa kila kitu ulimwenguni likiwemo jua na miili ya wanadamu. Ndani ya atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi. Kama miili yetu imetengenezwa na atomu na katika kila atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi, hivyo basi, tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mazuri na tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mabaya. Mtu akikutukana mwambie asante. Akikupiga mwambie asante. Akiendelea kukupiga, pigana. Geuza hasira yako kuwa hekima kwa faida yako na kwa faida ya wengine.”