Quotessence
Home / Topics / John Quotes

John Quotes

Browse 54 quotes about John.

John Quotes

“16. Christians should never consult astrologers, psychics, or those who practice witchcraft (see Isaiah 47:13-14). They are usually phonies who only pretend to have extrasensory powers. But in some cases, they are working in cooperation with Satan. Rather than tamper with this evil world, the one true God wants us to bring our needs, problems, and decisions to Him. He has promised to lead us into all truth (see John 8:32).”

“Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo. Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo. Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu. Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani. Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo. Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo. Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo. Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki. Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia. Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India. Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa. Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.”

“There is no record in Scripture that an angel visited John’s cell to explain the meaning of his persecution. This great, godly man who was the designated forerunner to Jesus went through the same confusing experiences as we. It is comforting to know that John responded in a very human way. He sent a secret message to Jesus from his prison cell, asking “Are you the one who was to come, or should we expect someone else?” (Matthew 11:3). Have you ever felt like asking that question?”

“Hey, it’s Col. I’m standing in a soybean field outside of Gutshot, Tennessee, which is a long story, and it’s hot. K. I’m standing here sweating like I had hyperhidrosis, that disease where you sweat a lot. Crap. That’s not interesting. But anyway, it’s hot, and so I’m thinking about cold to stay cool. And I was remembering walking through the snow coming back from the ridiculous movie. Do you remember that, K? We were on Giddings, and the snow made it so quiet, I couldn’t hear a thing in the world but you. And it was so cold then, and so silent, and I loved you so much. Now it’s hot, and dead quiet again, and I love you still.”

“What am I doing here?” she demanded, bewildered. “You’re having dinner,” her little brother said. “Stop it! I’m not hungry. Stop it!” John held the spoon in front of her. His cherubic face was dark with anger. “You said you wouldn’t leave me.” “What are you talking about?” Mary demanded. “You said you wouldn’t do it. You wouldn’t leave me alone,” John said. “But you tried, didn’t you?” “I don’t know what you’re babbling about.” She noticed Astrid then, leaning against a filing cabinet. Astrid looked like she’d been dragged through the middle of a dog fight. Little Pete was sitting cross-legged, rocking back and forth. He was chanting, “Good-bye, Nestor. Good-bye, Nestor.” “Mary, you have an eating disorder,” Astrid said. “The secret is out. So cut the crap.” “Eat,” John ordered, and shoved a spoonful of food in her mouth. None too gently. “Swallow,” John ordered. “Let me—” “Shut up, Mary.”

“Jonn Deire picked up eight yellowed and dog-eared cards from the pile, grumbling ‘garrn’ under his breath, while chewing on a frazzled looking toothpick. Skooch threw down a five of reds and said nothing. There was an impatient pause as the players waited for Beck to remember he had to play for Peeping William, who was still grumbling softly and rolling his eyes at intervals.”

“Peter, naomba nitubu kosa. Mimi si mtoto wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Ni mtoto wa Rais wa Meksiko. Lisa ni mtoto wa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali,” Debbie alisema akitabasamu. “Hata mimi nilijua ulikuwa ukinidanganya. Lakini mbona Rais wa Meksiko haitwi Patrocinio Abrego?” Murphy aliuliza. “Utamaduni wa Meksiko ni tofauti kidogo na tamaduni zingine,” Debbie alijibu baada ya kurusha nywele nyuma kuona vizuri. “Hapa, watu wengi hawatumii majina ya pili ya baba zao. Hutumia jina la kwanza la mama la pili la baba; ndiyo maana Wameksiko wengi wana majina matatu. Kwa upande wangu, Patrocinio ni jina la baba yake mama yangu na Abrego ni jina la babu yake mama yangu – kwa sababu za kiusalama.”

“Here's where things get hazy. John claims that the men hauling him away from the scene were escorted by other men carrying submachine guns, though when pressed, he admitted that they may have been flashlights. Either way, John says the men threw him down and intended to execute him, at which point he kicked one of the men in the face and backflipped to his feet. He then wrestled away the man's gun and "dick-whipped" him with it. I am unclear as to whether or not this means he struck the man in the groin or merely slapped him in the same manner in which he would slap a person with his dick. I never ask John to clarify such things. Anyway, he said he swung again and slammed another man's skull with the gun, so hard it "made the batteries fly out.”

“The grille of the Caddie plunged right into the middle of the bonfire, scattering smoke and flames and bones to the wind. The Cadillac finally bounced and jolted to a stop among a rain of burning human skulls. The voice of John Fogerty garbled and died. The driver's door opened and John flung himself out, clutching a sawed-off shotgun. He screamed, 'DID SOMEBODY ORDER SOME FUCKING PRISON BREAK WITH A SIDE OF SHOTGUN?”

“[...] Mom’s not keeping me out because it’s a dead friend, she’s keeping me out because it’s a dead sixteen-year-old girl with no clothes on’ ‘And that’s officially the creepiest thing you’ve ever said,’ said Lauren. She stopped typing, and then grimaced and shivered, like she’d just eaten something disgusting. ‘Seriously – yuck.’ I smiled. ‘I’ve got a live girlfriend – what do I need a dead one for?’ […] Lauren folded her arms. ‘How do I know you’re not just trying to get her out of the house for your own nefarious purposes?’ I smiled. ‘What kind of trouble am I going to get into? The dead girl doesn’t get here until tomorrow.”

“Kabla ya kukata roho mapigo ya kasi ya moyo aliyoyapata Yesu kutokana na mshtuko wa hipovolimia, pia yalisababisha maji kujikusanya katika vifuko vya maji au ute kandokando ya moyo na kandokando ya mapafu. Mkusanyiko huu wa maji kandokando ya moyo hujulikana kama ‘pericardial effusion’ na mkusanyiko wa maji kandokando ya mapafu hujulikana kama ‘pleural effusion’. Hii ndiyo maana baada ya Yesu kukata roho, na askari wa Kirumi kurusha mkuki katika ubavu wake, baada ya kutoboa mapafu na moyo, damu na maji vilitoka katika mbavu za Yesu kama Yohana alivyorekodi katika Injili yake. Mapafu ya Yesu na tumbo la Yesu vilijaa damu na maji. Mkuki ulivyotupwa maji yalitoka katika mapafu ya Yesu na katika tumbo la Yesu, na katika utando unaozunguka moyo wa Yesu, kutokana na kupasuka kwa moyo.”

“Dr John Nash Ott had reported improved health that an outdoor lifestyle can bring in his books. He believed it could cure prolonged illness. I had a similar experience. I had achieved what had been impossible during the previous decade, a return to the weight I was in my thirties. I had far more energy and far less days of chronic fatigue. I was mentally alert and suffered far less forgetfulness and confusion. I slept better on a two stage sleep cycle that Dr John Nash Ott had reported as an effect of the outdoor lifestyle. I would go to bed earlier, typically a couple of hours after sunset and wake up around 1-2 AM before falling asleep again until morning twilight. My body had automatically aligned with the twilight times. It was common in the morning to be awake in bed listening to the morning chorus of the birds and the “Cock-a-doodle-do!” of the roosters.”

“For me it's connection-the pleasure of an expansive, long-ranging dinner conversation with people who do all sorts of things and being able to come back to that night, night after night, and pick up threads and follow them. There's a voyeuristic pleasure, there's a synthetic pleasure, but primarily it's the pleasure of being able to live in a frame of time that the rest of life conspires to annihilate.”

“The story of the angel announcing what the church calls the immaculate conception, is not so much as mentioned in the books ascribed to Mark, and John; and is differently related in Matthew and Luke. The former says the angel, appeared to Joseph; the latter says, it was to Mary; but either Joseph or Mary was the worst evidence that could have been thought of; for it was others that should have testified for them, and not they for themselves. Were any girl that is now with child to say, and even to swear it, that she was gotten with child by a ghost, and that an angel told her so, would she be believed? Certainly she would not. Why then are we to believe the same thing of another girl whom we never saw, told by nobody knows who, nor when, nor where? How strange and inconsistent is it, that the same circumstance that would weaken the belief even of a probable story, should be given as a motive for believing this one, that has upon the face of it every token of absolute impossibility and imposture.”

“Ngumi ya Ambilikile ilitua barabara katika kichwa cha Brookshield na kuleta madhara makubwa. Sehemu moja ya kichwa, cha Brookshield, ilibonyea kabisa! Kimya kilichotawala kiliwasisimua mashabiki. Walipovamia ulingo, kushuhudia kisichoweza kufikirika, walitoka pale wakiwa na hakika ya asilimia 100; kwamba John alikuwa na nyundo (au chuma chochote) katika mfuko wake wa bukta – aliyoitoa (harakaharaka), wakidhani ni mtindo wa kipigo, na kumpondea mwenzake kichwani! Ile haikuwa nyundo. Wala haukuwa uchawi. Ilikuwa ngumi, imara, ya uzito wa kilo 90; uzito wote wa John Ambilikile.”

“How do we know that’s really John?’ she asks. ‘Setrákus Ra can change forms. This might be some kind of trap.’ In my excitement to hear John and Sam, I hadn’t even considered the possibility that this could be a ploy. Behind me, Nine shouts towards the communicator. ‘Hey, Johnny, remember back in Chicago? When you were claiming to be Pittacus Lore and we had a debate about whether to go to New Mexico?’ ‘Yeah,’ John’s voice sounds like it’s coming through clenched teeth. ‘How’d we settle that?’ John sighs. ‘You dangled me off the edge of the roof.’ Nine grins like that’s the best thing ever. ‘It’s definitely him.”

“The form of association, however, which if mankind continue to improve, must be expected in the end to predominate, is not that which can exist between a capitalist as chief, and work-people without a voice in the management, but the association of the labourers themselves on terms of equality, collectively owning the capital with which they carry on their operations, and working under managers elected and removable by themselves.”

“See, phrenology is this old Victorian science, which claimed you could determine the dominant traits of a man's personality by studying the bumps on his head. The size and position of these bumps indicated different personality traits. See? Now, /retro-phrenology/ says, why not change a man's personality by hitting him on the head with a hammer, till you raise just the right bumps in the right places!" "One of us needs a lot more drinks," said Alex. "That's starting to make sense.”

“With a sudden flash of anger, she blurted, "Lash wasn't impotent, all right? He wasn't ... impotent-" The temperature in the room plummeted so fast and so far, her breath came out in clouds. And what she saw in the mirror made her swing around and take a step back from John: His blue eyes glowed with an unholy light and his upper lip curled up to reveal fangs that were sharp and so long they looked like daggers. Objects all around the room began to vibrate: the lamps on the bed stands, the clothes on their hangers, the mirror on the wall. The collective rattling crescendoed to a dull roar and she had to steady herself on the bureau or run the risk of being knocked on her ass. The air was alive. Supercharged. Electric. Dangerous. And John was the center of the raging energy, his hands cranking into fists so tight his forearms trembled, his thighs grabbing onto his bones as he sank down into fighting stance. John's mouth stretched wide as his head shot forward on his spine... and he let out a war cry- Sound exploded all around her, so loud she had to cover her ears, so powerful she felt the blast against her face. For a moment, she thought he'd found his voice- except it wasn't vocal cords making that bellowing noise. The glass in the sliders blew out behind him, the sheets shattering into thousands of shards that blasted free of the house, the fragments bouncing on the slate and catching the light like raindrops... Or like tears.”

“A few minutes later, John got up, put his clothes back on, palmed his liquor bottle, and left. As the door clicked shut, Xhex pulled the duvet over herself. She did nothing to try to control the shakes that rattled her body, and didn't attempt to stop herself from crying. Tears left both of her eyes at the far corners, slipping out and flowing over her temples. Some landed in her ears. Some eased down her neck and were absorbed by the pillow. Others clouded her vision, as if they didn't want to leave home. Feeling ridiculous, she put her hands to her face and captured them as best she could, wiping them on the duvet. She cried for hours. Alone.”