Quotessence
Home / Topics / Lungs Quotes

Lungs Quotes

Browse 471 quotes about Lungs.

Related topics

Lungs Quotes

“Wachawi hivi ndivyo wanavyoapishwa na kuikana imani ya Kikristo: Mwanafunzi hupelekwa kilingeni katika siku maalumu kuonana na Shetani, pamoja na jopo la wachawi. Shetani hutokea katika mwili wa hewa, mwili uliochanganyikana na hewa na mvuke mzito, wa mwanamume na kuwasihi waishikilie imani yao kwake kwa mioyo yao yote, huku akiwaahidi utajiri na maisha marefu kama hawatamkana. Kisha wachawi wanampendekeza mwanafunzi kwa Shetani. Shetani humuuliza mwanafunzi kama yuko tayari kuikana imani yake, kuachana na Ukristo na kutokumwabudu Mwanamke Aliyebarikiwa Kuliko Wanawake Wote Duniani Maria Magdalena, na kutoziheshimu sakaramenti za aina zote. Mwanafunzi atakapokubaliana na masharti hayo, Shetani atanyoosha mkono wake na kumsihi mwanafunzi anyooshe wa kwake. Kwa mkono wake mwenyewe, mwanafunzi ataapa na kuweka agano na Shetani mbele ya jopo la wachawi. Baada ya hapo bila kuchelewa Shetani ataendelea na kusema kuwa hicho kiapo hakitoshi. Lakini mwanafunzi atakapouliza afanye kitu gani cha ziada, Shetani atahitaji kiapo kifuatacho kwa heshima yake na kwa heshima ya mashetani wote: Mwanafunzi ajikabidhi kwa Shetani kwa mwili na kwa roho yake yote daima dawamu, na afanye kila awezalo kuleta wanafunzi wengine wa kike na wa kiume katika ufalme wake. Kama hiyo haitoshi Shetani ataongeza kuwa lazima mwanafunzi atengeneze mafuta fulani kutokana na mifupa na viungo vya miili ya watoto, hasa watoto waliobatizwa, kwani kwa kufanya hivyo atamtimizia kila kitu atakachokitaka hapa duniani. Hiyo ni njia mojawapo ya kiapo. Njia nyingine ya kiapo ni kwa wale ambao hawajiamini au wana hofu ya kuonana na Shetani uso kwa uso kilingeni, akiwa na mwili wa kimazingaombwe na sauti ya kutisha kwani Shetani hana mapafu wala hana ulimi. Badala ya kilingeni mwanafunzi hupelekwa kanisani na jopo la wachawi ambapo mbele ya jopo atalazimishwa kuikana imani yake, kumkana Yesu Kristo, kuukana ubatizo na kulikana kanisa zima kwa ujumla wake. Mwanafunzi baada ya hapo atalazimishwa kutoa heshima kuu kwa Mfalme Mdogo, kwani hivyo ndivyo wanavyomwita Shetani ili kumwondolea mwanafunzi hofu, kisha atalazimishwa kunywa supu ya mtoto mchanga waliyemuua akazikwa kisha wakamfukua na kupika viungo vya mwili wake; na dakika hiyo mwanafunzi atapata maarifa, maarifa ya kichawi, kama walimu wake na watarudi nyumbani.”

“I was mistaken when I said you live in my heart. How absurd I was when you live in my fingertips so that everything I touch is you. How foolish I was when you live in my toes so that everywhere I go there's you. How senseless of me to say you live in my heart when you breathe in my lungs, walk on my mind, and drink in my mouth. I came to pen another poem for you, but even every unwritten poem is you.”

“I count everything. Even numbers, odd numbers, multiples of 10. I count the ticks of the clock i count the tocks of the clock I count the lines between the lines on a sheet of paper. I count the broken beats of my heart I count my pulse and my blinks and the number of tries it takes to inhale enough oxygen for my lungs. I stay like this I stand like this I count like this until the feeling stops. Until the tears stop spilling, until my fists stop shaking, until my heart stops aching. There are never enough numbers.”

“Msamaha si jambo dogo. Watu wadogo, watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri, hawawezi kupambana na changamoto za msamaha. Msamaha ni kwa ajili ya watu wenye macho kama ya tai wanaoweza kuona mbali ambao wako tayari kushindwa vita ili washinde vita. Hewa inaingia ndani ya mapafu na kutoka; chakula kinaingia ndani ya mwili na kutoka; mwanamasumbwi anapigana bila kugombana; injini ya gari haiwezi kusukuma gari mbele au nyuma bila kutoa hewa katika paipu ya ekzosi. Lakini kile kinachoingia moyoni mwako hakitoki! Maumivu yanapoingia ndani ya moyo yanapaswa kutoka nje kama yalivyoingia kwa sababu, yasipotoka yatatengeneza sumu ndani ya moyo wako na yatatengeneza sumu ndani ya roho yako pia. Sumu hiyo itahatarisha safari yako ya mbinguni na Mungu hatakusamehe tena. Badala ya yule aliyekukosea kuumia, utaumia wewe uliyekosewa. Yesu anaposema samehe saba mara sabini hatanii. Usiposamehe, hutasamehewa.”

“Without purpose and meaning in our lives, we banish ourselves to wander this plane of existence with self-destructive tendencies until the bell tolls and our breath capsizes in our lungs, snatching our chance to redeem ourselves forever.”

“Potassium Cyanide si hatari inapokuwa nje. Ni hatari inapojichanganya na asidi za tumboni ambapo hubadilika na kuwa gesi ya 'hydrogen cyanide'. Gesi ya 'hydrogen cyanide' ni miongoni mwa sumu hatari zaidi ulimwenguni. Mtu akimeza kidonge cha 'cyanide' atapata madhara makubwa. Kichwa chake kitamuuma hapohapo na atachanganyikiwa akili. Ngozi yake itakuwa nyekundu, kwa sababu damu yake itakuwa nyekundu zaidi – kutokana na kuzidi kwa oksijeni katika damu. Mwili hautakuwa na uwezo tena wa kuchukua oksijeni kutoka katika damu ili uitumie, kwa hiyo damu itazidi kuwa na oksijeni zaidi. Atapumua kwa shida. Mapafu yake yatafanya kazi vizuri lakini mwili wake hautakuwa na uwezo wa kutumia oksijeni yoyote – hivyo atadhani ana matatizo katika mfumo wake wa kupumua. Atazimia. Yaani, oksijeni haitafika kwenye ubongo. Atapata kifafa na atatapika nyongo. Ubongo wake utashindwa kufanya kazi na atakuwa mahututi ndani ya sekunde kumi! Baada ya hapo moyo wake utasimama kufanya kazi, na atafariki dunia.”

“Eyes and ears are two. Lungs and kidneys, too. I wonder then why we're born with one heart that skips a beat when hay is here, and beats quickly when you are near. One heart that cracks when you are far, lie to me and leave a scar. I wonder then why we're born with one heart that gets broken. Was I supposed to find you then? So your heart would make one plus one is two for me and two for you.”

“Allergies, it seems like everyone is developing them. I lived an allergy free life until I passed through a computed tomography X-ray scanner having my lungs examined. Afterwards I was extremely reactive to pollen with a runny nose and heavy sneezing every spring. It does respond to allergy medication and in my medicine cupboard you will find numerous allergy medications. Research into X-Ray radiation revealed that allergies are a known side effect of the exposure.”

“I had been researching high altitude diseases and their links to COVID-19, as both conditions are linked through hypoxia, also known as oxygen starvation or asphyxia. As the COVID-19 pandemic was progressing, more information was coming out about a debilitating condition called ā€œLong COVIDā€. In particular, the damage it was wreaking on the kidneys. The lungs were typically the most damaged organ in surviving COVID-19 patients, followed by the kidneys.”

“Kitu cha kwanza kufanyika mwanadamu anapozaliwa ni kuvuta pumzi ya kwanza katika mapafu ya mwili wake. Cha mwisho kufanyika kabla ya kufa ni kutoa pumzi ya mwisho katika mapafu ya mwili wake. Pumzi iliyoingia kwanza baada ya kuzaliwa, itakuwa ya mwisho kutoka kabla ya kufa. Pumzi ni bora kuliko muda halafu pumzi ni uhai. Bila uhai watu hawataweza kusherehekea mwaka mpya au kufanya chochote. Likumbuke jina la Mwenyezi Mungu katika kila pumzi unayoingiza na kutoa.”

“Kabla ya kukata roho mapigo ya kasi ya moyo aliyoyapata Yesu kutokana na mshtuko wa hipovolimia, pia yalisababisha maji kujikusanya katika vifuko vya maji au ute kandokando ya moyo na kandokando ya mapafu. Mkusanyiko huu wa maji kandokando ya moyo hujulikana kama ā€˜pericardial effusion’ na mkusanyiko wa maji kandokando ya mapafu hujulikana kama ā€˜pleural effusion’. Hii ndiyo maana baada ya Yesu kukata roho, na askari wa Kirumi kurusha mkuki katika ubavu wake, baada ya kutoboa mapafu na moyo, damu na maji vilitoka katika mbavu za Yesu kama Yohana alivyorekodi katika Injili yake. Mapafu ya Yesu na tumbo la Yesu vilijaa damu na maji. Mkuki ulivyotupwa maji yalitoka katika mapafu ya Yesu na katika tumbo la Yesu, na katika utando unaozunguka moyo wa Yesu, kutokana na kupasuka kwa moyo.”

“You've been so long in the rain, you feel like a dirty dish rag. But despite the misery of your water soaked body, you look around to see verdant leaves dripping with water. The air entering your lungs smells vibrantly clean. To experience adventure, you must be willing to be uncomfortable at times and enjoy the loneliness by being happy with your own singing. A song pops out of your mouth... "It rained all night the day I left, the weather it was fine..."”

“Perhaps we are looking at this from a wrong perspective; this search for the truth, the meaning of life, the reason of God. We all have this mindset that the answers are so complex and so vast that it is almost impossible to comprehend. I think, on the contrary, that the answers are so simple; so simple that it is staring us straight in the face, screaming its lungs out, and yet we fail to notice it. We're looking through a telescope, searching the stars for the answer, when the answer is actually a speck of dirt on the telescope lens.”

“I've been riding the carousel in Central Park since I was five years old. If I'm very depressed or if something's bothering me today, my husband, Larry, and I go back to the park. We get on the carousel horse and we start riding, and I start singing at the top of my lungs. It is pure and absolute joy and happiness.”

“Another glorious day, the air as delicious to the lungs as nectar to the tongue.”

“Why is wisdom so fair? Why is beauty so wise? Because all else is temporary, while beauty and wisdom are the only real and constant aspects of truth that can be perceived by human means. And I don't mean the kind of surface beauty that fades with age, or the sort of shallow wisdom that gets lost in platitudes. True beauty grips your gut and squeezes your lungs, and makes you see with utmost clarity exactly what is before you. True wisdom then steps in, to interpret, illuminate, and form a life-altering insight.”