Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Msamaha si jambo dogo. Watu wadogo, watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri, hawawezi kupambana na changamoto za msamaha. Msamaha ni kwa ajili ya watu wenye macho kama ya tai wanaoweza kuona mbali ambao wako tayari kushindwa vita ili washinde vita. Hewa inaingia ndani ya mapafu na kutoka; chakula kinaingia ndani ya mwili na kutoka; mwanamasumbwi anapigana bila kugombana; injini ya gari haiwezi kusukuma gari mbele au nyuma bila kutoa hewa katika paipu ya ekzosi. Lakini kile kinachoingia moyoni mwako hakitoki! Maumivu yanapoingia ndani ya moyo yanapaswa kutoka nje kama yalivyoingia kwa sababu, yasipotoka yatatengeneza sumu ndani ya moyo wako na yatatengeneza sumu ndani ya roho yako pia. Sumu hiyo itahatarisha safari yako ya mbinguni na Mungu hatakusamehe tena. Badala ya yule aliyekukosea kuumia, utaumia wewe uliyekosewa. Yesu anaposema samehe saba mara sabini hatanii. Usiposamehe, hutasamehewa.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Regardless of your starting point, past failures or bad luck with familial genes, you can turn things around quickly – starting with your next mail and next workout. Your genes expect you to be lean, strong, energetic and healthy.”

“If you are my food, how am I supposed to feel pity towards you? That would mean starvation for me. “A hungry leopard told a fallen, panting, imploring gazelle”

“There is a wonderful simple human reality to Christ's hunger. The man is famished. He's missed meals for three days, He has a lot on his mind, He's on His way back to heaven, but before He goes He is itching for a nice piece of broiled fish and a little bread on the side with the men and women He loves. Do we not like Him the more for His prandial persistance? And think for a moment about the holiness of our own food, and the ways that cooking and sharing a meal can be forms of love and prayer. And realize again that the Eucharist at the heart of stubborn Catholicism is the breakfast that Christ prepares for Catholics, every morning, as we return from fishing in vast dreamy seas?”