“Msamaha si jambo dogo. Watu wadogo, watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri, hawawezi kupambana na changamoto za msamaha. Msamaha ni kwa ajili ya watu wenye macho kama ya tai wanaoweza kuona mbali ambao wako tayari kushindwa vita ili washinde vita. Hewa inaingia ndani ya mapafu na kutoka; chakula kinaingia ndani ya mwili na kutoka; mwanamasumbwi anapigana bila kugombana; injini ya gari haiwezi kusukuma gari mbele au nyuma bila kutoa hewa katika paipu ya ekzosi. Lakini kile kinachoingia moyoni mwako hakitoki! Maumivu yanapoingia ndani ya moyo yanapaswa kutoka nje kama yalivyoingia kwa sababu, yasipotoka yatatengeneza sumu ndani ya moyo wako na yatatengeneza sumu ndani ya roho yako pia. Sumu hiyo itahatarisha safari yako ya mbinguni na Mungu hatakusamehe tena. Badala ya yule aliyekukosea kuumia, utaumia wewe uliyekosewa. Yesu anaposema samehe saba mara sabini hatanii. Usiposamehe, hutasamehewa.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: The Primal Blueprint 21-Day Total Body Transformation: A complete, step-by-step, gene reprogramming action plan
“Words will scratch more hearts than swords.”
Source: Love Her Wild
Source: The Primal Blueprint 21-Day Total Body Transformation: A complete, step-by-step, gene reprogramming action plan
Source: The Primal Blueprint 21-Day Total Body Transformation: A complete, step-by-step, gene reprogramming action plan
Source: Pearls Of Eternity
“I'm eating' it quick... but I'll remember it a long time.”
Source: The Yearling
“we eat for our stomachs, but we hunger with our hearts.”
Source: Love, Loss, and What We Ate: A Memoir
“Do not tell someone you are hungry if, whenever they feed you, you do not eat.”
Source: Healology
“The thing you learn with Potage Parmentier is that "simple" is not exactly the same as easy.”
Source: Julie and Julia: 365 Days, 524 Recipes, 1 Tiny Apartment Kitchen
Source: Credo: Essays on Grace, Altar Boys, Bees, Kneeling, Saints, the Mass, Priests, Strong Women, Epiphanies, a Wake, and the Haun