“Kitu cha kwanza kufanyika mwanadamu anapozaliwa ni kuvuta pumzi ya kwanza katika mapafu ya mwili wake. Cha mwisho kufanyika kabla ya kufa ni kutoa pumzi ya mwisho katika mapafu ya mwili wake. Pumzi iliyoingia kwanza baada ya kuzaliwa, itakuwa ya mwisho kutoka kabla ya kufa. Pumzi ni bora kuliko muda halafu pumzi ni uhai. Bila uhai watu hawataweza kusherehekea mwaka mpya au kufanya chochote. Likumbuke jina la Mwenyezi Mungu katika kila pumzi unayoingiza na kutoa.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“People those enjoy life never thought about death and those thought about death never enjoy life.”
“Christmas and the others can end up making you sad, because you know you should be happy.”
Source: Love Letters to the Dead
Source: Song of a Nature Lover
“They did normal things, but they did them with abnormal love and inclusiveness.”
Source: Faith
“Stand firm in the life ahead. Keep your heart on what is true, and be faithful in every step.”
Source: The Light in the Heart