Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Kitu cha kwanza kufanyika mwanadamu anapozaliwa ni kuvuta pumzi ya kwanza katika mapafu ya mwili wake. Cha mwisho kufanyika kabla ya kufa ni kutoa pumzi ya mwisho katika mapafu ya mwili wake. Pumzi iliyoingia kwanza baada ya kuzaliwa, itakuwa ya mwisho kutoka kabla ya kufa. Pumzi ni bora kuliko muda halafu pumzi ni uhai. Bila uhai watu hawataweza kusherehekea mwaka mpya au kufanya chochote. Likumbuke jina la Mwenyezi Mungu katika kila pumzi unayoingiza na kutoa.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Be a flower. Be a seed. Let your growth arouse curiosity. Let it fascinate and amaze. Let it inspire the artist and the scientist. Let it shock the doubters. Let it grant hope to the hopeless. Let it begin in silence, and end with a loud bang. Don’t be an open book - be mysterious. Be extraordinary, be undefinable, be a ball of fiery fire, and above all, grow in silence, and let your success do the talking.”