“Peter, naomba nitubu kosa. Mimi si mtoto wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Ni mtoto wa Rais wa Meksiko. Lisa ni mtoto wa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali,” Debbie alisema akitabasamu. “Hata mimi nilijua ulikuwa ukinidanganya. Lakini mbona Rais wa Meksiko haitwi Patrocinio Abrego?” Murphy aliuliza. “Utamaduni wa Meksiko ni tofauti kidogo na tamaduni zingine,” Debbie alijibu baada ya kurusha nywele nyuma kuona vizuri. “Hapa, watu wengi hawatumii majina ya pili ya baba zao. Hutumia jina la kwanza la mama la pili la baba; ndiyo maana Wameksiko wengi wana majina matatu. Kwa upande wangu, Patrocinio ni jina la baba yake mama yangu na Abrego ni jina la babu yake mama yangu – kwa sababu za kiusalama.”
Quote by Enock Maregesi
Book:Kolonia Santita
Work
Kolonia Santita
Browse quotes and source details for this work. more
Author
You May Also Like
“Baba man svarbiau negu kunigs.”
Source: Pietinia kronikas
“Magic was precarious by nature, and potatoes were safe by comparison.”
Source: Baba Connridh: A Frewyn Fable
Source: Kolonia Santita
Source: Oda
“Shetani akikupa hela chukua. Hiyo hela ameiiba kutoka kwa Baba. Ukishaichukua, toa zaka.”
“Ukimheshimu baba au mama yako katika mambo mema au mabaya umemheshimu Mungu katika mambo mema.”
Source: Babam Beni Şahdamarımdan Öptü
“Vashikaran Specialist Contact Number $%$% +91-8890675453#$%$% In Bangalore”
“Vashikaran Specialist Baba +91-8890675453#$%$% In Ahmedabad”
Source: The Art of the Moment: Simple Ways to Get the Most from Life