Quotessence
Home / Topics / Mama Quotes

Mama Quotes

Browse 383 quotes about Mama.

Related topics

Mama Quotes

“The sacred gift of parenthood is inscribe in the universal words ‘Papa’ and ‘Mama’.”

“Tupo watu takriban bilioni saba katika dunia hii. Kila mtu ni wa kipekee. Mathalani, wewe ni tofauti na baba yako au mama yako au mtu mwingine yoyote yule. Kila mtu aliumbwa kivyake na Mwenyezi Mungu. Kila mtu ana nafasi ya kwake mwenyewe aliyopangiwa na Mungu hapa duniani. Haijalishi wewe ni mwanamke au mwanamume, mweupe au mweusi, mfupi au mrefu, mzuri au mbaya, una nafasi katika nchi na dunia hii. Unachotakiwa kufanya ni kuamka, kufumbua macho na kuujua ukweli. Tafuta maarifa katika Biblia kama wewe ni Mkristo. Tafuta maarifa katika Kurani kama wewe ni Mwislamu. Tafuta maarifa katika Yoga kama wewe haumwamini Mungu. Ukishaamka na kuujua ukweli, ukishapata nafasi katika nchi yako, kuwa kiongozi na mkarimu kwa wenzako. Jifunze kutoka kwa wengine ndani na nje ya tasnia yako. Usiwe mchoyo wa maarifa. Kuwa mwadilifu. Ukifanya hivyo utafanikiwa zaidi, utaipa heshima tasnia yako, na utaacha alama katika dunia baada ya kuondoka. Kuacha alama katika dunia si lazima upate nafasi katika dunia. Kuacha alama katika dunia acha alama katika nchi yako.”

“Kusudi mimba itungwe lazima kuwepo na kromosomu X na kromosomu Y. Kromosomu ni nyuzinyuzi katika kiini cha seli zenye jeni au DNA, ambazo hubeba taarifa kuhusu sifa za kimaumbile zinazorithishwa kwa kiumbe hai kutoka kwa mama na baba wa kiumbe hicho. Kwa upande wa Yesu Kristo, katika hali ya kawaida, kromosomu X ilitoka kwa Maria Magdalena na kromosomu Y ilitoka kwa malaika Gabrieli. Yesu alikuwa Myahudi lakini Kristo ni Mungu. Yesu Kristo alikuwa binadamu kama sisi, lakini alikuwa na utukufu na alikuwa na damu ya Mungu iliyotakasika. Damu kama hiyo ndiyo inayotiririka katika miili ya kila mmojawetu ijapokuwa ni damu ya Adamu, ambayo bado haijatakaswa. Damu ya Yesu si kitu kidogo. Ilipomwagika msalabani ilifunika dunia nzima. Ndiyo maana tukasamehewa. Bila damu hiyo, bila utukufu huo wa Mungu, hakuna binadamu atakayeokolewa, hakuna pepo atakayeondolewa.”

“Jina langu ni Enock Maregesi na ningependa kukwambia kisa kidogo kuhusiana na bibi yangu, Martha Maregesi. Mwanamke huyu alikuwa mke mwenye upendo usiokuwa na masharti yoyote. Alikuwa mama na bibi aliyefundisha familia yake umuhimu wa kujitolea na umuhimu wa uvumilivu. Ijapokuwa hakupendelea sana kujizungumzia mwenyewe, ningependa kukusimulia kisa kidogo kuhusiana na hadithi ya maisha ya mwanamke huyu wa ajabu katika maisha yangu. Bibi yangu alizaliwa katika Kitongoji cha Butimba, Kijiji cha Kome, Kata ya Bwasi, Tarafa ya Nyanja (Majita), Wilaya ya Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, katika familia ya watoto kumi, mwaka 1930. Alisoma katika Shule ya Msingi ya Kome ambako alipata elimu ya awali na msingi na pia elimu ya kiroho kwani shule yao ilikuwa ya madhehebu ya Kisabato. Aliolewa na Bwana Maregesi Musyangi Sabi mwaka 1946, na kufanikiwa kupata watoto watatu; wa kiume wakiwa wawili na wa kike mmoja. Matatizo hasa ya bibi yalianza mwaka 2005, alipougua kiharusi akiwa nyumbani kwake huko Musoma. Hata hivyo alitibiwa hapo Musoma na Dar es Salaam akapona na kuwa mwenye afya ya kawaida. Lakini tarehe 19/10/2014 alipatwa tena na kiharusi na kulazwa tena katika Hospitali ya Mkoa ya Musoma, ila akajisikia nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani – lakini kwa maagizo ya daktari ya kuendelea na dawa akiwa nje ya hospitali. Tarehe 29/10/2014 alirudi tena Hospitali ya Mkoa ya Musoma kwa tiba zaidi, lakini tarehe 4/11/2014 saa 7:55 usiku akafariki dunia; akiwa amezungukwa na familia yake. Dunia ina watu wachache sana wenye matumaini na misimamo ya kutegemea mazuri, na wachache zaidi ambao wako tayari kugawa matumaini na misimamo hiyo kwa watu wengine. Nitajisikia furaha siku zote kwamba miongoni mwa watu hao wachache, hata bibi yangu alikuwemo. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake. Kwa kuwa bibi yangu ametanguliwa na msalaba, msalaba utamwongoza mahali pa kwenda.”

“Mama wasn't dead...exactly. They all said she was, but when Elma was small, she seen Mama creep into her room at night, half-naked, head all bloodied red like when they found her by the well that day, and Elma reckoned dead just meant pretendin' you couldn't move or breathe until nightfall when you got up and walked around like you was free.”

“Jicho ni kiungo cha ajabu zaidi kuliko viungo vyote katika mwili wa mwanadamu baada ya ubongo. Jicho moja linatengenezwa na viungo vidogovidogo zaidi ya milioni mbili, vinavyofanya kazi kwa pamoja bila kukosea. Macho yana nguvu ya ajabu. Huu ni wito kwa akina mama wanaonyonyesha: Usizungumze maneno mabaya mtoto wako mchanga anapokuangalia machoni wakati ananyonya ziwa lako. Neno lolote utakalomwambia, zuri au baya, pamoja na kwamba amekuwa akisikia sauti yako kwa miezi kadhaa akiwa tumboni, litajirekodi katika akili yake isiyotambua bila wewe au yeye mwenyewe kujua. Neno hilo litakuja kumuathiri baadaye atakapokuwa mkubwa. Atakapopevuka, atakapokuwa na uwezo wa kupambanua mambo, atakuwa anaota na kuwaza kile ambacho ulikuwa ukimwambia alipokuwa tumboni; na alipokuwa akinyonya na kukukodolea macho.”

“Why can't you call me Alex?" I ask, my head down while I stare at the food in front of me. "If I wanted to call you Alex, I wouldn't have bothered to name you Alejandro. Don't you like your given name?" My muscles tense. I was named after a father who is no longer alive, leaving me the responsibility of being the designated man of the house. Alejandro, Alejandro Jr., Junior . . . it's all the same to me. "Would it matter?" I mumble as I pick up a tortilla. I look up, trying to gauge her reaction. Her back is to me as she cleans dishes in the sink. "No." "Alex wants to pretend he's white," Carlos chimes in. "You can change your name, bro, but nobody'd mistake you for anythin' other than Mexicano." "Carlos, collate la boca," I warn. I don't want to be white. I just don't want to be associated with my father. "Por favor, you two," our mother pleads. "Enough fighting for one day." "Mojado," Carlos sings, egging me on by calling me a wetback. I've had enough of Carlos's mouth; he's gone too far. I stand, my chair scraping the floor. Carlos follows and steps in front of me, closing the space between us. He knows I could kick his ass. His overblown ego is gonna get him in trouble with the wrong person one of these days. "Carlos, sit down," mi'ama orders. "Dirty beaner," Carlos drawls at me in a fake deep accent. "Better yet, es un Ganguero." "Carlos!" mi'ama reprimands sharply as she comes forward, but I get in between them and grab my brother's collar. "Yeah, that's all anyone will ever think of me," I tell him. "But you keep talkin' trash and they'll think that of you, too." "Brother, they'll think that of me anyway. Whether I want them to or not." I release him. "You're wrong, Carlos. You can do better, be better." "Than you?" "Yeah, better than me and you know it," I say. "Now apologize to mi'ama for talkin' smack in front of her." One look in my eyes and Carlos knows I'm not kidding around. "Sorry, Ma," he says, then sits back down. I don't miss his glare, though, as his ego got knocked down a peg.”

“Peter, naomba nitubu kosa. Mimi si mtoto wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Ni mtoto wa Rais wa Meksiko. Lisa ni mtoto wa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali,” Debbie alisema akitabasamu. “Hata mimi nilijua ulikuwa ukinidanganya. Lakini mbona Rais wa Meksiko haitwi Patrocinio Abrego?” Murphy aliuliza. “Utamaduni wa Meksiko ni tofauti kidogo na tamaduni zingine,” Debbie alijibu baada ya kurusha nywele nyuma kuona vizuri. “Hapa, watu wengi hawatumii majina ya pili ya baba zao. Hutumia jina la kwanza la mama la pili la baba; ndiyo maana Wameksiko wengi wana majina matatu. Kwa upande wangu, Patrocinio ni jina la baba yake mama yangu na Abrego ni jina la babu yake mama yangu – kwa sababu za kiusalama.”

“Watoto hupenda vitu vinavyong’aa ambavyo havijatulia na vilivyopangiliwa vizuri. Hivyo ndivyo macho ya binadamu yalivyo: yana unyevu na yanaakisi mwanga, hayajatulia, na yana rangi kadha wa kadha ikiwa ni pamoja na kope na vigubiko vya macho ambavyo pia hazijatulia. Mtoto mchanga hasa yule anayeona vizuri huangalia macho pale anapopata nafasi, kwa maana ya kuyashangaa. Vilevile, huangalia macho kwa maana ya kupokea molekuli ya maadili au homoni inayorahisisha maisha kutoka kwa mama yake iitwayo ‘oxytocin’. ‘Oxytocin’ husisimua ubongo wake na kuutayarisha kupokea neno lolote litakalosemwa na mama yake mzazi au mama yake mlezi.”

“La vejez es la enferma-edad: la enfermedad. La única enfermedad incurable que hay en el mundo y que mata a la gente antes de que ésta muera. Salvo mamá, que parecía cada vez más joven y más hermosa con sus cabellos rubios y sus ojos azules de cielo de atardecer. Hay bellezas sublimadas, como la de mamá, en las que el alma rejuvenece cada día y adquiere la perfección de una flor inextinguible. La belleza de mamá daba a su sonrisa el perfume de esa flor.”

“Ştefan se opri brusc. Vocea îi dădu înapoi ca un val în reflux. Privi spre Luluţa care îşi duse mâna la ochi, voind ruşinată să-şi acopere faţa ce i se congestionase şi lacrimile care-i şiroiau ca nişte pârâiaşe pe obrajii stacojii. Privire stinsă. Ochi roşii. Cap plecat. Umeri strânşi. Spate încovoiat. Şuviţe de păr încâlcite şi aruncate peste muci împletiţi cu lacrimi. Sufletul - un zgârci. Asta devenise Luluţa. Se prefăcuse în mâhnirea aceea pe care o purta mereu în ea, pe dinăuntru. Şi pe care o îndesa adânc în ocna sufletului. Şi care o năpădea uneori fără oprelişti. Acum se făcuse vulcan. Şi magma îi erupse vânjos, propulsată de o putere atât de mare, încât fata trebui să-şi adune forţele ca să-şi înghită vocea. Suspina întrerup şi îndesat, încercând să-şi stăpânească sughiţul şi tremurul mâinilor care căutau un şerveţel, bâlbâindu-se înfrigurate pe faţa de masă. Timpul se făcu punte de dor şi i-o aduse Luluţei pe Florica: o mână caldă pe creştetul capului, un nas mic, îngheţat, încălzit de un decolteu uzat, un miros de pâine bună, aburindă, abia scoasă din cuptor, o îmbrăţişare ca o haină groasă pe timp de viscol şi ger. Luluţa zâmbi duios nălucii: Mi-e dor de tine, mămică! Când o să vii la vară, acasă... şi se opri brusc, siderată de inconsistenţa gândului.”

“Do you need a rest, Mama?" Tiana said as she drizzled praline syrup on the order of beignets she'd just made. "No, baby. You know I stopped sewing to embrace the excitement of the restaurant business." "Well, that's not the only reason you're here," Tiana said with a laugh. She rounded the cooking station and enveloped her mother in a hug. "No, it isn't," Eudora said. She and Tiana stared up at the portrait of her daddy that hung on the wall, looking down over the entire kitchen. "I'm here because this is exactly where he would want me to be." "And it's exactly where I want you to be, too. What did that man from the paper call you? The queen of Tiana's Palace?" "Well, he's right," her mother replied with no small amount of sass. Then she and Tiana burst out laughing.”

“- Nu trebuie să te bizui pe faptul cineva te va salva, continuă mama, cu privirile pierdute, o fată care așteaptă pe altcineva s-o salveze nu va învăța niciodată să se descurce singură. Chiar dacă ar avea posibilități, i-ar lipsi curajul. Să nu fii și tu așa, Eliza! Trebuie să fii curajoasă, să înveți să te aperi singură, să nu te bizui pe nimeni”.”

“Kwa nini mtoto mchanga anapokuwa ananyonya ziwa la mama yake, mara nyingi humwangalia mama yake machoni? Kwa sababu, licha ya macho kuonekana kitu cha ajabu kwake, mtoto mchanga, bila kujitambua, hutamani sana mama yake amwambie neno zuri atakalolitumia baadaye katika maisha yake atakapokuwa mkubwa. Maneno huumba. Ukimwambia mwanao kuwa anaonekana atakuwa jambazi, anaweza kuwa jambazi kweli atakapokuwa mkubwa; ukimwambia kuwa anaonekana atakuwa mwanasheria, anaweza kuwa mwanasheria kweli atakapokuwa mkubwa.”

“We women, me and you. Tell me something real. Don’t just say I’m grown and ought to know. I don’t. I’m fifty and I don’t know nothing. What about it? Do I stay with him? I want to, I think. I want… well, I didn’t always… now I want. I want some fat in this life.” “Wake up. Fat or lean, you got just one. This is it.” “You don’t know either, do you?” “I know enough to know how to behave.” “Is that it? Is that all it is?” “Is that all what is?” “Oh shoot! Where the grown people? Is it us?” “Oh, Mama.” Alice Manfred blurted it out and then covered her mouth. Violet had the same thought: Mama. Mama? Is this where you got to and couldn’t do it no more? The place of shade without trees where you know you are not and never again will be loved by anybody who can choose to do it? Where everything is over but the talking? - Violet Trace and Alice Manfred”

“You desperately want all the right tools because you want to mother “the right way.” But motherhood is messy, and raw, and nuanced, and requires things a baby registry could never provide: surrender, and trust, and dependence on the Lord Almighty to fuel you with grace, with perseverance, with steadfast love, with a sacrificial willingness to get up the next morning with your eyes half shut and do it all over again.”

“Back in my room, I put Izzy down, pulled my dress over my head, and tossed it on the floor, lost in thought. "Marygene Brown," Mama scolded the second I closed the door. I screamed. Izzy was growling and running around Mama, barking. Alex bolted through the door, gun in hand, scanning the room for an intruder. "What is it?" I held my hand over my heart, a familiar response for me now, and scooped Izzy up. Mama was giving me a chastising glare, her arms folded across her chest. She didn't seem to like the idea of Alex sleeping in the house. She was such a hypocrite. That was when I recalled I was standing in nothing but my bra and panties. Alex devoured me with the intensity of his gape. I snatched the dress off the floor, using it to cover myself. "Um... I thought I saw a mouse. Sorry I alarmed you," I stammered. "Mouse, my derriere," Mama said. "That boy doesn't need to be in this house. You have a blind spot when it comes to him." She had never been fond of Alex. He was subpar in her eyes. He didn't own his own business, like Zach did, nor did he come from an aristocratic family. He was a common boy who grew into a common man, who earned a deputy's salary. Like Eddie. Alex had a lopsided grin. "If I didn't know better, I'd think you were using that as an excuse to get me up here. A little jealous tonight, were we?" "You watch yourself, young man!" Mama scolded, her finger in his face. Not that he saw her. "Shh," I said to Mama. "What are you shushing me for? Any man would think the same," Alex said. "I thought I heard it," I held my hand to my ear, "the mouse, listen." He put his gun back into his holster. "Right. If you want me to stay," he waggled his eyebrows at me, "all you have to do is ask." "I mean it. You're about to get it, young man," Mama was waving her arms around like a lunatic, and I wasn't certain she could do no harm. She had slammed me to the floor the other night. "No. I swear it was a mouse." I shoved him out the door. "I'll be fine. Good night, Alex." "Good night, Marygene." He grinned again as I closed the door. "If you need me, just holler." He put extra emphasis on the word need.”

“Mamá En la noche con una vela rezando te ví y sé que tu oración sacra es para mí, porque la tristeza en mi alma una herida profunda escarba, porque de encono estoy rodeada y la oscuridad me ha cautivado. Tus sacras oraciones llaman la luz para mí. Tus sacras oraciones ¿cuándo las merecí? Tus sacras oraciones en mi seca alma entran como rocío. Y me duele, porque mi noche no tiene día.”

“Dacă aș putea, aș opri timpul pentru tine, dragă mamă.Aș opri timpul tău ca să poți trăi, în sfârșit, tot ceea ce nu ai trăit atunci când ar fi trebuit.Aș opri timpul tău ca să nu-ți răsară fire albe atât de devreme, ca să nu te împovăreze ridurile, ca să mai ai răgaz pentru a te simți frumoasă, femeie, plină de viață.Aș opri timpul tău ca să-ți ofer toate momentele pe care le-ai fi meritat, toate mângâierile, îmbrățișările și toate bucuriile de care ai fost privată pe nedrept.Aș opri timpul tău ca să te odihnești, să îți relaxezi mâinele atât de muncite, să ai și tu timp doar pentru tine.Să te văd bucurându-te de lucrurile pentru care ai muncit atât de mult, să faci numai ceea ce-ți place, și nu doar ceea ce trebuie.Aș opri timpul ca să te răsfăț, să te alint și să te copleșesc cu iubire.Să îți șterg lacrimile și să le acopăr urmele cu săruturi.Aș opri timpul tău ca să mă pot plimba cu tine, să îți împărtășesc din visele mele și să îți aflu cele mai frumoase povești.Aș opri timpul tău ca să te cunosc și să te înțeleg.Să îți aflu durerile, temerile, dorințele neîmplinite, să știu cum aș putea să îți bucur sufletul și cum ar trebui să fiu ca să fii mândră de mine.Aș opri timpul tău ca să îți împlinești visurile frumoase pe care le-ai abandonat atunci când ai început să visezi doar pentru mine.Aș opri timpul tău ca să te văd râzând și ca să memorez fiecare zâmbet al tău, de care îmi va fi atât de dor atunci când mă vei lăsa singură și când voi avea nevoie de o amintire sfântă.Aș opri timpul tău ca să primești fiecare clipă de fericire atât de meritată.Aș opri timpul tău ca să te învăț de la tine tot ce trebuie să știu despre viață, despre renunțări, despre puterea de a trăi prin și pentru cei dragi.Aș opri timpul ca să îți spun toate cuvintele frumoase pe care nu ți le-am mărturisit la timp.Aș opri timpul tău ca să nu pleci nicicând de lângă mine...”

“There is no greater heaven than the heart of a loving mother She takes care of you when you are still in her womb. She nurtures you after you are born. She hurts when you fall, She celebrates when you make your first steps. She is the only person who genuinely cares about you. She loves you as she loves herself. Her heart is your true paradise. I love you mama.”