“Peter, naomba nitubu kosa. Mimi si mtoto wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Ni mtoto wa Rais wa Meksiko. Lisa ni mtoto wa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali,” Debbie alisema akitabasamu. “Hata mimi nilijua ulikuwa ukinidanganya. Lakini mbona Rais wa Meksiko haitwi Patrocinio Abrego?” Murphy aliuliza. “Utamaduni wa Meksiko ni tofauti kidogo na tamaduni zingine,” Debbie alijibu baada ya kurusha nywele nyuma kuona vizuri. “Hapa, watu wengi hawatumii majina ya pili ya baba zao. Hutumia jina la kwanza la mama la pili la baba; ndiyo maana Wameksiko wengi wana majina matatu. Kwa upande wangu, Patrocinio ni jina la baba yake mama yangu na Abrego ni jina la babu yake mama yangu – kwa sababu za kiusalama.” MotherCultureFatherPeterGrandfatherMamaBabaMurphyJohnJohn MurphyJohn Murphy AmbilikileMexicansDebbie Patrocinio AbregoDebbieMeksikoMtotoAttorney GeneralDebbie PatrocinioUtamaduniMexican PresidentMwanasheria Mkuu Wa SerikaliRais Wa MeksikoBabuWameksiko Book:Kolonia Santita Source: Kolonia Santita
“Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.” CultureLanguageAfricaKenyaRwandaMother TongueUgandaArabicTanzaniaArabsKolonia SantitaEnock MaregesiAfrikaEast AfricaMozambiqueSwahiliAfrican UnionBurundiKiswahiliAfrican LanguagesLughaUtamaduniAfrika MasharikiSwahili LanguageAfrican Great LakesDemocratic Republic Of The CongoBantuAfrika Ya MasharikiAtlantic Congo LanguagesBantu PeopleBantu PeoplesBantusBenue Congo LanguagesComorian LanguageComoro IslandsEastern AfricaFamilia Ya Lugha Ya KiswahiliHistoria Ya KiswahiliJamhuri Ya Kidemokrasia Ya KongoKiarabuKibantuKiprotoKusini Mashariki Mwa AfrikaLugha Ya AsiliLugha Ya KibantuLugha Ya KisabakiLugha Ya KiswahiliLugha Ya Visiwa Vya KomoroLugha Ya Visiwa Vya NgazijaLugha Za AfrikaMsumbijiMto SabakiNchi Za Ukanda Wa Maziwa MakuuNiger Congo Language FamilyNortheast Coast BantuProto BantuSabaki LanguageSabaki RiverSoutheast AfricaSouthern Bantoid LanguagesSwahili HistorySwahili Language FamilySwahili PeopleSwahili PeoplesUmoja Wa AfrikaVisiwa Vya KomoroVisiwa Vya NgazijaWaarabuWabantuWaswahili Author:Enock Maregesi
“Kiswahili ni lugha ya Kibantu na lugha kuu ya kimataifa ya biashara ya Afrika ya Mashariki ambayo; maneno yake mengi yamepokewa kutoka katika lugha za Kiarabu, Kireno, Kiingereza, Kihindi, Kijerumani na Kifaransa, kutoka kwa wakoloni waliyoitawala pwani ya Afrika ya Mashariki katika kipindi cha karne tano zilizopita. Lugha ya Kiswahili ilitokana na lugha za Kisabaki za Afrika Mashariki; ambazo nazo zilitokana na Lugha za Kibantu za Pwani ya Kaskazini Mashariki za Tanzania na Kenya, zilizotokana na lugha zaidi ya 500 za Kibantu za Afrika ya Kusini na Kati. Lugha za Kibantu zilitokana na lugha za Kibantoidi, ambazo ni lugha zenye asili ya Kibantu za kusini mwa eneo la Wabantu, zilizotokana na jamii ya lugha za Kikongo na Kibenue – tawi kubwa kuliko yote ya familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri katika bara la Afrika. Familia ya lugha za Kikongo na Kibenue ilitokana na jamii ya lugha za Kiatlantiki na Kikongo; zilizotokana na familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri, ambayo ni familia kubwa ya lugha kuliko zote duniani kwa maana ya lugha za kikabila. Familia ya lugha ya Kiswahili imekuwepo kwa karne nyingi. Tujifunze kuzipenda na kuzitetea lugha zetu kwa faida ya vizazi vijavyo.” CultureLanguageAfricaKenyaRwandaMother TongueUgandaArabicFuture GenerationsTanzaniaArabsKolonia SantitaEnock MaregesiAfrikaEast AfricaMozambiqueSwahiliAfrican UnionBurundiKiswahiliAfrican LanguagesLughaVizazi VijavyoUtamaduniAfrika MasharikiSwahili LanguageAfrican Great LakesDemocratic Republic Of The CongoBantuAfrika Ya MasharikiAtlantic Congo LanguagesBantu PeopleBantu PeoplesBantusBenue Congo LanguagesComorian LanguageComoro IslandsEastern AfricaFamilia Ya Lugha Ya KiswahiliHistoria Ya KiswahiliJamhuri Ya Kidemokrasia Ya KongoKiarabuKibantuKiprotoKusini Mashariki Mwa AfrikaLugha Ya AsiliLugha Ya KibantuLugha Ya KisabakiLugha Ya KiswahiliLugha Ya Visiwa Vya KomoroLugha Ya Visiwa Vya NgazijaLugha Za AfrikaMsumbijiMto SabakiNchi Za Ukanda Wa Maziwa MakuuNiger Congo Language FamilyNortheast Coast BantuProto BantuSabaki LanguageSabaki RiverSoutheast AfricaSouthern Bantoid LanguagesSwahili HistorySwahili Language FamilySwahili PeopleSwahili PeoplesUmoja Wa AfrikaVisiwa Vya KomoroVisiwa Vya NgazijaWaarabuWabantuWaswahili Author:Enock Maregesi
“Hata hivyo, Shetani anaweza kutudanganya kupitia tamaduni zetu tulizozaliwa nazo. Utamaduni, dunia tunapoishi, ndiyo chanzo cha udanganyifu huu. Yesu Kristo alikufa msalabani ili tupate uhuru kutoka kwa Shetani. Chukua hatua sasa kwa sababu Shetani anaweza kukuteka, na kukufanya mtumwa tena.” PeopleWorldCultureFreedomAirSourceJesus ChristSlaveSatanHoly SpiritDeceitWord Of GodDemonsDuniaShetaniWatuYesu KristoRoho MtakatifuUhuruHewaUtamaduniGood AngelsMalaika WemaNeno La MunguMapepoMtumwaUdanganyifuChanzoOur CulturesTamaduni Zetu Author:Enock Maregesi
“A.K.A kirefu chake ni 'Also Known As'. K.K.K kirefu chake ni 'Kadhalika Kikijulikana Kama'. K.N.K kirefu chake ni 'Kadhalika Nikijulikana Kama'. K.A.K kirefu chake ni 'Kadhalika Akijulikana Kama'. Kadhalika, unaweza kusema P.K.K (Pia Kikijulikana Kama), P.N.K (Pia Nikijulikana Kama) au P.A.K (Pia Akijulikana Kama).Tujifunze kuupenda utamaduni wetu, ili vizazi vijavyo visisumbuke.” LoveCultureLearnInconvenienceFuture GenerationsVizazi VijavyoUtamaduniJifunzeA K AAlso Known AsK A KK K KK N KPendaUsumbufuK I KK T KK V KK W KKadhalika Akijulikana KamaKadhalika Ikijulikana KamaKadhalika Kikijulikana KamaKadhalika Nikijulikana KamaKadhalika Tukijulikana KamaKadhalika Vikijulikana KamaKadhalika Wakijulikana KamaP A KP I KP K KP N KP T KP V KP W KPia Akijulikana KamaPia Ikijulikana KamaPia Kikijulikana KamaPia Nikijulikana KamaPia Tukijulikana KamaPia Vikijulikana KamaPia Wakijulikana Kama Author:Enock Maregesi