“Neno la Mungu tunalojifunza sasa litatufanya tuusimamie ukweli, uliodhihirishwa na mitume, katika kipindi cha dhiki kuu.” TruthWord Of GodProphetsUkweliNeno La MunguMitume Author:Enock Maregesi
“Usipoangalia kwa undani sana, mapepo wanatutawala kwa sababu hatuna uwezo wa kuwaona. Aidha, wanaweza, bila hata sisi kujua, kuwasiliana nasi kimawazo na kitabia kupitia hewa hiihii inayotusaidia katika kuishi. Watu wengi katika dunia hii hawajui kama wanadanganywa au walishadanganywa tayari. Shetani na mapepo wake hawataki tujue kama wanatudanganya au wameshatudanganya tayari, na hawataki tujue kama wako hapa kwa ajili ya kutudanganya sisi. Tunajua tu kwa sababu Neno la Mungu hudhihirisha ukweli huu kupitia Roho Mtakatifu na malaika wema, na tunauamini. Licha ya hili jambo kutokea katika maisha yetu, Shetani bado anaweza kutudanganya hadi pale tutakapoerevuka kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha kwamba udanganyifu huo hautatokea tena.” PeopleWorldAirSatanHoly SpiritWord Of GodDemonsDuniaShetaniWatuRoho MtakatifuHewaGood AngelsMalaika WemaNeno La MunguMapepo Author:Enock Maregesi
“Hata hivyo, Shetani anaweza kutudanganya kupitia tamaduni zetu tulizozaliwa nazo. Utamaduni, dunia tunapoishi, ndiyo chanzo cha udanganyifu huu. Yesu Kristo alikufa msalabani ili tupate uhuru kutoka kwa Shetani. Chukua hatua sasa kwa sababu Shetani anaweza kukuteka, na kukufanya mtumwa tena.” PeopleWorldCultureFreedomAirSourceJesus ChristSlaveSatanHoly SpiritDeceitWord Of GodDemonsDuniaShetaniWatuYesu KristoRoho MtakatifuUhuruHewaUtamaduniGood AngelsMalaika WemaNeno La MunguMapepoMtumwaUdanganyifuChanzoOur CulturesTamaduni Zetu Author:Enock Maregesi
“Wenye mamlaka wana dhamana za mamlaka zao kama watumishi wa Mungu, kwa sababu Neno la Mungu liko wazi kwamba Mungu ndiye aliyewapa mamlaka hayo.” GodAuthorityWord Of GodMunguMamlakaNeno La MunguServants Of GodDhamanaGuarantorWatumishi Wa Mungu Author:Enock Maregesi
“Mtu akikupiga ngumi utaumia. Akikutukana utaumia. Akikunyima Neno la Mungu utaumia pia.” InsultWord Of GodFistNeno La MunguTusiNgumi Author:Enock Maregesi