Uhuru Quotes
Browse 12 quotes about Uhuru.
Uhuru Quotes
“Ukiwanyima watoto uhuru wa kuwa watoto leo watakuwa na uhuru wa kuwa watoto kesho.”
“Wape watoto uhuru wa mahesabu, lakini si uhuru wa shaghalabaghala.”
“Tunasema uongo kwa sababu hatuna ujasiri wa kusema ukweli. Ukweli hautupi uhuru, unatupa upweke.”
“Neno Uhuru likiacha kuonekana kwenye Kamusi zetu itakuwa vigumu kuchukua hatua za haraka.”