“Radia hakuwa na makosa. Wengi huishi maisha yao bure. Yeye aliishi ya kwake kwa ajili ya watu. Hakuishi tu kama raia wa Tunisia. Aliishi kama raia wa uanadamu, maadili mema na uchapakazi. Watu walimsifu kwa kuwa na kaulimbiu ya 'Acha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta'.” PeopleWorldLifeHumanityGuiltyMoralsMottoDuniaMaishaCitizenWatuTunisiaIndustriousnessMakosaMaadiliRadia HosniUchapakaziRaiaKaulimbiuUanadamu Book:Kolonia Santita Source: Kolonia Santita
“Ukiua mtu bila kumwambia kwa nini unamuua anaweza kujua umemuua kwa kumwonea. Akijua umemuua kwa kumwonea roho yake inaweza kukusumbua wewe na familia yako maisha yenu yote. Makachero wa EAC wana leseni ya kuua. Lakini si kuua ovyo kama James Bond. Kila wanayemuua lazima waandike ripoti kwa nini wamemuua. Kachero wa EAC akiua mtu, kwa makosa, kwa bahati mbaya, atalindwa na Mwenyezi Mungu. Atalindwa na Tambiko la Tume ya Dunia.” LifeSpiritMistakeFamilyYouPersonBad LuckFamiliaMaishaMtuReportMwenyezi MunguJames BondGod AlmightyRohoWeweMakosaSpecial AgentLicenceEacBahati MbayaKacheroSpecial AgentsLeseniMakacheroRipotiTambiko La Tume Ya DuniaWodec S Ritual Author:Enock Maregesi
“Msamaha ni uamuzi wa makusudi wa kuachilia hisia za chuki au kisasi juu ya mtu au kikundi cha watu ambaye amekuumiza au ambacho kimekuumiza, bila kujali kama anastahili au kinastahili msamaha wako. Wataalamu wanaosoma au kufundisha msamaha huweka bayana ya kuwa, unaposamehe, hutakiwi kusitiri au kukana uzito wa kosa ulilofanyiwa. Msamaha haumaanishi kusahau wala haumaanishi kupuuza, au kujisingizia, makosa ambayo mtu amekufanyia au kikundi cha watu kimekufanyia. Ijapokuwa msamaha unaweza kusaidia kujenga uhusiano ulioharibika, haukulazimishi kupatana na mtu aliyekukosea au kumfanya asiwajibike kisheria kwa makosa aliyokufanyia. Badala yake, msamaha humletea yule anayesamehe amani ya moyo; na humpa uhuru kutokana na hasira aliyokuwa nayo, juu ya yule aliyemkosea.” FreedomForgivenessAngerHarmonyRevengeExpertsPersonLegalMtuMsamahaHasiraUhuruMakosaOffencesWataalamuKisasiAmani Ya MoyoDeliberate DecisionMaulamaaThey DeserveTo ForgetA Group Of PeopleAnastahiliFeelings Of HatredHisia Za ChukiHutakiwi KusitiriIt DeservesKikundi Cha WatuKinastahiliKisheriaKujenga Uhusiano UlioharibikaKujisingiziaKukana Uzito Wa KosaKupatanaKupuuzaKusahauPeace Of The HeartTo Build A Broken RelationshipTo IgnoreTo Slander OneselfUamuzi Wa MakusudiUnaposameheWhen You ForgiveYou Should Not Camouflage Author:Enock Maregesi
“Vita ni vilevile, ukoloni ni uleule, ubaguzi ni uleule, umaskini ni uleule, harakati za kijamii ni zilezile, matabaka ni yaleyale. Kwa nini tusiseme historia inajirudia? Tunatakiwa kujifunza kutokana na makosa tuliyoyafanya katika historia.” HistoryDiscriminationMistakesColonialismVitaHistoriaWarsMakosaUbaguziUkoloni Author:Enock Maregesi
“Mungu anachotaka kutoka kwako ni kuzitambua dhambi zako na kuziungama. Yesu alikuwa dhambi kwa ajili yetu. Alikubali kulaumiwa badala ya sisi kulaumiwa. Omba maghufira kwa Mungu kwa makosa uliyofanya.” GodJesusMistakesMunguSinsYesuDhambiMakosaForgiveness From Almighty GodMaghufira Author:Enock Maregesi
“Radia Hosni alikuwa na bahati kuliko watu wote duniani. Frederik Mogens alipofika katika helikopta na kukuta Murphy na Yehuda wakihangaika kuutafuta mwili wa Radia, hakushangazwa na walichomwambia. Kwa sababu alijua nini kilitokea. Radia alikutwa akipumua kwa mbali. Hivyo, Debbie na marubani walimchukua na kumpeleka Mexico City haraka ilivyowezekana. Black Hawk waliyokuwa wakiishangaa ilikuwa ya DEA. Lakini si ile waliyokwenda nayo Oaxaca. Ilikuwa nyingine ya DEA, iliyotumwa na Randall Ortega kuwachukua Vijana wa Tume na kuwapeleka Mexico City haraka ilivyowezekana. Black Hawk waliyokwenda nayo Oaxaca ndiyo iliyomchukua Radia na Debbie na kuwapeleka Altamirano (hospitali ya tume) mjini Mexico City. Mogens angekwenda pia na akina Debbie; lakini alibaki kwa ajili ya kumlinda El Tigre, na mizigo yake, na baadhi ya makamanda wake wachache. El Tigre angeweza kutoroka kama angebaki na polisi peke yao, na Mogens hakutaka kufanya makosa.” BodyLuckMistakesPilotsCommandersHospitalMurphyCargoMexico CityMwiliHelicopterVijana Wa TumeDebbieDeaOaxacaMakosaEl TigreFrederik MogensRadia HosniBahatiBlack HawkHelikoptaMakamandaMogensAltamiranoHospitali Ya TumeMarubaniMizigoRandall OrtegaYehuda Book:Kolonia Santita Source: Kolonia Santita
“Ukikosana na mwanamke usimpige mchana. Mpige usiku. Ukimpiga mchana watu watasema umemwonea. Ukimpiga usiku watu watasema huenda alikuwa na makosa. Wanawake hawatakiwi kupigwa.” PeopleNightWomenMistakesWomanNoonWatuMwanamkeMakosaWanawakeUsikuZakayoMchana Author:Enock Maregesi