“Ukiua mtu bila kumwambia kwa nini unamuua anaweza kujua umemuua kwa kumwonea. Akijua umemuua kwa kumwonea roho yake inaweza kukusumbua wewe na familia yako maisha yenu yote. Makachero wa EAC wana leseni ya kuua. Lakini si kuua ovyo kama James Bond. Kila wanayemuua lazima waandike ripoti kwa nini wamemuua. Kachero wa EAC akiua mtu, kwa makosa, kwa bahati mbaya, atalindwa na Mwenyezi Mungu. Atalindwa na Tambiko la Tume ya Dunia.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Controlling others is the cornerstone of dysfunctional families.”
Source: Attack on Titan #1
Source: Notes on Heartbreak
“I think we call all be a little unwise. There is always something else to learn.”
“Acceptance” is the most beautiful word in the English language.”