Quotessence
Home / Topics / Commanders Quotes

Commanders Quotes

Browse 387 quotes about Commanders.

Related topics

Commanders Quotes

“Ndege ya Kolonia Santita, Grumman Gulfstream III, tofauti na ndege alizokuwa akitumia Panthera Tigrisi na makompade wake wa karibu, ilifanya kazi kubwa katika mgogoro wa Kolonia Santita na Tume ya Dunia. Dar es Salaam Grumman ilipomchukua kachero Giovanna Garcia wa Kolonia Santita, baada ya ndege hiyo kutumwa na makamanda wa Kolonia Santita wa Copenhagen, ilimpeleka Paris nchini Ufaransa kuhudhuria kikao cha siri cha CS-Paris. Katika kikao hicho yeye na wenzake wakapanga mauaji ya Kamanda John Murphy Ambilikile, kwa kusuka mbinu kamambe za kumteketeza, kabla ndege yake haijafika Copenhagen. Giovanna akashiriki pia kupeleka taarifa za Murphy duniani kote katika matawi yote ya Kolonia Santita, Urusi ikiwemo, ambapo Murphy alitekwa nyara na CS-Moscow. Baada ya 'mauaji' ya Murphy, Grumman iliwapeleka baadhi ya maadui waliohusika na mauaji hayo Mexico City katika makao makuu ya Kolonia Santita; kisha ikarudi Copenhagen kumchukua kiongozi wa CS-Copenhagen, Regner Steiner Valkendorff, na Kachero wa Kolonia Santita Delfina Moore.”

“Watu wanaohatarisha maisha yao kwa kudharau sheria wakati mwingine hawatakiwi kudharauliwa. Ni sawa na mtu aliyepoteza kila kitu katika maisha yake. Wana uwezo wa kufanya chochote. Serikali ya Meksiko ilipokataa kukidhi matakwa ya El Tigre ya kubadili katiba ya nchi – kuondoa kipengele cha mkataba wa kubadilishana watuhumiwa na washtakiwa – ili akikamatwa asipelekwe Marekani ambako atafungwa na kufia gerezani, El Tigre aliilaani Serikali ya Meksiko. Kujibu mapigo, ya laana ya maluuni, Serikali ya Meksiko ikawakabidhi makamanda 7 wa Kolonia Santita kwa mamlaka za Marekani, na kuongeza juhudi za kumsaka El Tigre mpaka nje ya Amerika ya Kusini na Kaskazini. El Tigre, kuikomoa serikali na kuwalipia kisasi makamanda wote waliouwawa na kufungwa na shirikisho, akamuua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (PGR) na maafisa 7 wa Jeshi la Polisi la Nchi (PJF) kulinganisha idadi ya makamanda wake waliopelekwa Marekani – halafu 'akapotea', kabisa; baada ya kutangaza vita na Serikali ya Meksiko!”

“The two oldest fought in the First World War, the rest battled in the Second. They knew about Korea but not understanding what it was about didn’t give it the respect—the seriousness—Frank thought it deserved. The veterans ranked battles and wars according to loss numbers: three thousand at this place, sixty thousand in the trenches, twelve thousand at another. The more killed, the braver the warriors, not the stupider the commanders.”

“Radia Hosni alikuwa na bahati kuliko watu wote duniani. Frederik Mogens alipofika katika helikopta na kukuta Murphy na Yehuda wakihangaika kuutafuta mwili wa Radia, hakushangazwa na walichomwambia. Kwa sababu alijua nini kilitokea. Radia alikutwa akipumua kwa mbali. Hivyo, Debbie na marubani walimchukua na kumpeleka Mexico City haraka ilivyowezekana. Black Hawk waliyokuwa wakiishangaa ilikuwa ya DEA. Lakini si ile waliyokwenda nayo Oaxaca. Ilikuwa nyingine ya DEA, iliyotumwa na Randall Ortega kuwachukua Vijana wa Tume na kuwapeleka Mexico City haraka ilivyowezekana. Black Hawk waliyokwenda nayo Oaxaca ndiyo iliyomchukua Radia na Debbie na kuwapeleka Altamirano (hospitali ya tume) mjini Mexico City. Mogens angekwenda pia na akina Debbie; lakini alibaki kwa ajili ya kumlinda El Tigre, na mizigo yake, na baadhi ya makamanda wake wachache. El Tigre angeweza kutoroka kama angebaki na polisi peke yao, na Mogens hakutaka kufanya makosa.”

“Let me just be candid: My party is full of racists. And the real reason a considerable portion of my party wants President Obama out of the White House has nothing to do with the content of his character, nothing to do with his competence as commander-in-chief and president, and everything to do with the color of his skin. And that's despicable.”

“A commander-in-chief cannot take as an excuse for his mistakes in warfare an order given by his sovereign or his minister when the person giving the order is absent from the field of operations and is imperfectly aware or wholly unaware of the latest state of affairs. It follows that any commander-in-chief who undertakes to carry out a plan which he considers defective is at fault; he must put forward his reasons, insist on the plan being changed, and finally tender his resignation rather than be the instrument of his army's downfall.”

“There still shines the most important nuance by virtue of which the noble felt themselves to be men of a higher rank. They designate themselves simply by their superiority in power (as "the powerful," "the masters," "the commanders") or by the most clearly visible signs of this superiority, for example, as "the rich," "the possessors" (this is the meaning of 'Arya,' and of corresponding words in Iranian and Slavic).”

“As Iraqi forces gain experience and the political process advances, we will be able to decrease our troop level in Iraq without losing our capability to defeat the terrorists. These decisions about troop levels will be driven by the conditions on the ground in Iraq and the good judgment of our commanders, not by artificial timetables set by politicians in Washington.”

“For a decade Americans have been steeped in the rhetoric of "zero tolerance" and the faith that virtually all problems from drug addiction to lousy teaching can be solved by pouring on the punishment. Even without a Commander in Chief who pledges to rid the world of evildoers, smoke them out of their holes and the like, we would be vulnerable to the temptation to brush aside frustrating complexities and relieve intolerable fear (at least for the moment) by settling on one or more scapegoats to crush. To imagine that trauma casts out fantasy is a dangerous mistake.”

“I think [Wine] will be, at a minimum, incredibly useful to archeology, like DosBox has been for playing Wing Commander. Certainly it has been known to save the day with modern titles, too. But to have it as the agreed-upon way to how you play video games on Linux is completely unacceptable for several reasons, both technical and moral.”

“The general verdict among the German generals I interrogated in 1945 was that Field-Marshal von Manstein had proved the ablest commander in their Army, and the man they had most desired to become its Commander-in-Chief. It is very clear that he had a superb sense of operational possibilities and equal mastery in the conduct of operations, together with a greater grasp of the potentialities of mechanized forces than any other commander who had not been trained in the tank arm. In sum, he had military genius.”

“Azerbaijan unleashed the war, and was defeated in that war; Azerbaijan asked for truce (including from the Commander of Karabakh's forces) and later started to sob about the dire repercussions of that war. As if wars ever bring pleasant repercussions. And on top of that, Azerbaijan adopted conceited stance and started to make demands as if anywhere in the world defeated aggressors are ever allowed to make demands.”

“One of the great things about being commander in chief is getting to know our men and women in uniform in a very intimate way, whether it's visiting Walter Reed and seeing our wounded soldiers, or being on a base and talking to families, or interacting with them on missions. They're the best of the best: always thinking about the mission, not thinking about credit, not thinking about who's up front.”

“The business of the English commander-in-chief being first to bring an enemy fleet to battle on the most advantageous terms to himself, (I mean that of laying his ships close on board the enemy, as expeditiously as possible); and secondly to continue them there until the business is decided.”