“Shetani ana mbinu nyingi za kuwateka wana wa Mungu. Mwanzo sura ya tatu inaonyesha jinsi Hawa alivyoona tunda linang’aa na akazama kwenye tunda pasipokujua kuna mauti ndani yake. Shetani anaangalia kipengele unachokitumia kuchukua maamuzi magumu naye anavaa jezi kama ya kwako ili usimgundue. Roho Mtakatifu akiwa anakuongoza penye hila nafsi yako itakuongoza.” SoulDeathAspectStrategyFruitSatanHoly SpiritJerseyGenesisShetaniTough DecisionsEveChildren Of GodRoho MtakatifuHawaTundaMwanzoNafsiMautiMbinuWana Wa MunguGenesis 3JeziKipengeleMaamuzi MagumuMwanzo 3 Author:Enock Maregesi
“Ukisema ukweli utapata uhuru wa nafsi. Ukisema uongo utapata uhuru wa umma. Heri uhuru wa nafsi kuliko wa umma.” SelfTruthFreedomLiePersonPublicUkweliUhuruNafsiUmmaUongo Author:Enock Maregesi
“Ukiichukia serikali yako umeichukia nafsi yako. Kwa sababu serikali ndiyo inayoongoza nchi, na nchi ni mwili mmoja.” SoulCountryGovernmentHatredSerikaliNchiChukiNafsi Author:Enock Maregesi