“Dhambi ya Adamu ilileta mauti duniani (kwa viumbe vyote, si tu kwa binadamu). Hiyo ni kwa mujibu wa Biblia. Kisayansi si kweli; kwa sababu mauti yalikuwepo kabla Adamu na Hawa hawajaumbwa! Lakini haya ndiyo mawazo yangu: Dhambi iliathiri uumbaji wote ikiwemo mimea, wanyama, wadudu na kila kitu kilichoumbwa na Mwenyezi Mungu; ambavyo huteseka kwa sababu ya laana ya dunia. Kama wanyama na mimea visingekuwa vinakufa, binadamu wasingepata mahali pa kuishi. Hata hivyo, kifo cha Yesu msalabani kitafufua kila kitu – kitafufua uumbaji wote.” DeathSinBibleAdamAnimalsInsectsPlantsAdam And EveAlmighty GodHuman BeingBibliaDhambiBinadamuMwenyezi MunguAdamuAdamu Na HawaWanyamaAll CreationMautiPlace To LiveCurse Of The WorldDeath Of Jesus On The CrossKifo Cha Yesu MsalabaniLaana Ya DuniaMahali Pa KuishiMimeaUumbaji WoteViumbe VyoteWaduduWhole Creation Author:Enock Maregesi
“Shetani ana mbinu nyingi za kuwateka wana wa Mungu. Mwanzo sura ya tatu inaonyesha jinsi Hawa alivyoona tunda linang’aa na akazama kwenye tunda pasipokujua kuna mauti ndani yake. Shetani anaangalia kipengele unachokitumia kuchukua maamuzi magumu naye anavaa jezi kama ya kwako ili usimgundue. Roho Mtakatifu akiwa anakuongoza penye hila nafsi yako itakuongoza.” SoulDeathAspectStrategyFruitSatanHoly SpiritJerseyGenesisShetaniTough DecisionsEveChildren Of GodRoho MtakatifuHawaTundaMwanzoNafsiMautiMbinuWana Wa MunguGenesis 3JeziKipengeleMaamuzi MagumuMwanzo 3 Author:Enock Maregesi