“Shetani ana mbinu nyingi za kuwateka wana wa Mungu. Mwanzo sura ya tatu inaonyesha jinsi Hawa alivyoona tunda linang’aa na akazama kwenye tunda pasipokujua kuna mauti ndani yake. Shetani anaangalia kipengele unachokitumia kuchukua maamuzi magumu naye anavaa jezi kama ya kwako ili usimgundue. Roho Mtakatifu akiwa anakuongoza penye hila nafsi yako itakuongoza.” SoulDeathAspectStrategyFruitSatanHoly SpiritJerseyGenesisShetaniTough DecisionsEveChildren Of GodRoho MtakatifuHawaTundaMwanzoNafsiMautiMbinuWana Wa MunguGenesis 3JeziKipengeleMaamuzi MagumuMwanzo 3 Author:Enock Maregesi
“Ghillie ni mavazi yaliyotumiwa na makomandoo wa Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya (Frederik Mogens, Radia Hosni, Daniel Yehuda na John Murphy) kama mbinu ya kujificha kwa kujifananisha na rangi au maumbo ya mazingira ya Msitu wa Benson Bennett, kama afanyavyo kinyonga. Hata hivyo, walivyoingia katika jumba la utawala katika maabara za Kolonia Santita ndani ya Msitu wa Benson Bennett katika mji wa Salina Cruz, Vijana wa Tume walivua suti zao za ghillie; kusudi iwe rahisi kwao kupambana na jeshi binafsi la Kolonia Santita, liitwalo 'autodefensa'.” TechniqueForestChameleonCamouflageCommandosJohn MurphyTume Ya DuniaVijana Wa TumeSalina CruzWorld CommissionAdministration BlockDaniel YehudaFrederik MogensRadia HosniMakomandooMsitu Wa Benson BennettBenson BennettMbinuThe Benson Bennett JungleAutodefensaGhillieGhillie SuitJeshi BinafsiJumba La UtawalaKamaflejiKinyongaKolonia Santita LaboratoriesMaabara Za Kolonia SantitaMsituPrivate ArmySuti Za Ghillie Author:Enock Maregesi