Quotessence
Home / Topics / Almighty God Quotes

Almighty God Quotes

Browse 183 quotes about Almighty God.

Related topics

Almighty God Quotes

“I haven't known up 'till now why I do not want to go. But now I do know. [...] Because this is the ship that they say is unsinkable,' she replied, 'and that is flying in the face of the Almighty. That ship will never reach the other side.”

“The only person to influence the direction and purpose of your life is the one who gave it. God!”

“Dhambi ya Adamu ilileta mauti duniani (kwa viumbe vyote, si tu kwa binadamu). Hiyo ni kwa mujibu wa Biblia. Kisayansi si kweli; kwa sababu mauti yalikuwepo kabla Adamu na Hawa hawajaumbwa! Lakini haya ndiyo mawazo yangu: Dhambi iliathiri uumbaji wote ikiwemo mimea, wanyama, wadudu na kila kitu kilichoumbwa na Mwenyezi Mungu; ambavyo huteseka kwa sababu ya laana ya dunia. Kama wanyama na mimea visingekuwa vinakufa, binadamu wasingepata mahali pa kuishi. Hata hivyo, kifo cha Yesu msalabani kitafufua kila kitu – kitafufua uumbaji wote.”

“Neither my deeds contain any essence nor, my gestures have sense of zeal, my days are creeping forth for nothingness; with this body deficient of heart and soul O' Glorious! O' Lord Almighty ! how can I come close to you?”

“I am sick and tired of hearing, the universe knows best. If the universe knew best, no child would cry of hunger. If the universe knew best, no young girl would fall victim to human trafficking. If the universe knew best, nobody would have to struggle till death to feed their family. If the universe knew best, not a single person would ever become a refugee. If the universe knew best, not a single human being would have to suffer on the face of earth. Any universe or god that allows for such horrors to teach humanity lessons or whatever, got to be extremely sick. Insects from the sewers deserve more respect than such sick forces. The reason these horrors take place is that, contrary to all cowardly beliefs, there is no higher force concerned with human welfare. If we want these horrors to end, we gotta take the initiative to end them ourselves, without relying on prehistoric fairytales. So, stop all that supernatural nonsense, and take some responsibility for the world you live in. Stop delegating your human duties to a fictitious force and stand civilized wielding your backbone for a change.”

“The hatred the 'Christian' right wing harbors for the SA Constitution is not htere because of an absence of 'God' in state machinery and the excised phrase 'in humble submission to almighty God' - but because it no longer places THEM in a position to claim that THEY represent the will of that 'God' and to act as though it were true.”

“Ndoto za wachawi ni tofauti kidogo na ndoto takatifu. Wachawi wanapokuwa hawahitaji kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine, lakini wana hamu ya kuona wenzao wanafanya nini au wanasema nini, huwa wanalala ubavu mmoja upande wa kushoto kwa jina la mungu wao na la mashetani wote. Kisha wanatoa mvuke wa bluu midomoni mwao. Kupitia mvuke huo, kwa nguvu za Shetani na kwa ruhusa ya Mwenyezi Mungu, wataona na watasikia kila kinachofanyika upande wa pili. Kile wanachotaka kukiona na kukisikia hujifunua katika ufahamu wao kama taswira au maono, kutoka katika akili isiyotambua, ya watu wakifanya au wakisema kitu. Kama wanataka kujua siri za watu wengine, hata wale ambao si wachawi, watazijua kupitia ndoto hizo; kwa sababu ya makubaliano ya wazi, si ya siri, waliyoingia na Shetani. Makubaliano hayo si ya lelemama; yaani yale ambayo hufanywa kwa kutoa kafara ya mnyama, au kufuru ya aina yoyote ile kwa Mwenyezi Mungu, au kwa kuabudu dini za kichawi. Lakini ni kwa sadaka halisi ya wao wenyewe ya mwili na roho kwa Shetani na kwa kufuru ya kuikana kabisa, imani ya Mwenyezi Mungu. Lakini hiyo ni kwa wale wanaotumia uchawi wa kishetani. Wale wanaotumia uchawi wa asili, kama vile kutumia risasi kumroga mtu kwa sababu risasi mungu wake ni sayari ya Zohali, au wale walioingia mkataba wa siri na Shetani, hawana uwezo wa kuota hivyo. Hivyo, si kila mchawi anaweza kuota ndoto za namna hiyo, ni kwa wale tu walioingia mkataba wa wazi na Shetani.”

“Tunazaliwa, kuteseka na kufa kwa sababu ya dhambi ya asili ya wazazi wetu wa kwanza (Adamu na Hawa). Kama Hawa asingekubali kudanganywa na Shetani, tungezaliwa bila uchungu, tungeishi bila kuteseka na tusingekufa milele. Lakini haya ndiyo mawazo yangu: Mungu Ahusiki na dhambi, Ahusiki na mwili, Anahusika na roho. Hivyo, mtu anapofariki mwili unabaki duniani lakini roho inarudi kwa Mungu; kwani Yeye ndiye aliyeitengeneza na kuiweka katika moyo wa mtu. Mimi na wewe ni viumbe vyenye thamani kubwa sana mbele za Mwenyezi Mungu; mapenzi Yake kwetu hayana masharti yoyote. Hainiingii akilini (hata kidogo) kumtesa mtu unayempenda kiasi hicho milele, wakati uwezo wa kumwokoa unao.”

“By the exhibition of powerful eloquence, the conscience may be roused, & the passions moved. But nothing less than the operations of an Almighty agent, sanctioning, directing,& applying the means used, can reach the heart, can impress the spirit, can change the will, can influence the life, can save the man. -- William Bengo Collyer”

“When you feel all the doors are closing. All your efforts are hopeless and a whole lot of anger, sadness, despair and frustration, take a moment to talk to the Almighty'. There is no comfort like the one you would feel after speaking to the one that will always stand by you.”

“Mammon ni mungu wa pesa wa kuzimu anayesimamia mambo yote ya kifedha ulimwenguni. Ni miongoni mwa mashetani saba waliotupwa na Mwenyezi Mungu hapa duniani kutokea mbinguni akiwemo Ibilisi, Beelzebub, Asmodeus, Leviathan, Amon na Belphegor. Ibilisi ni mungu wa kiburi, Beelzebub ni mungu wa uroho, Asmodeus ni mungu wa zinaa, Leviathan ni mungu wa wivu, Amon ni mungu wa hasira na Belphegor ni mungu wa uvivu. Jukumu la mashetani hawa ni kusimamia kwa uaminifu mkubwa kutokea kuzimu dhambi kubwa saba duniani ambazo ni kiburi, uroho, zinaa, wivu, hasira, uvivu na uchoyo. Dawa ya dhambi hizo ni busara, kiasi, ujasiri, imani, haki, tumaini na upendo.”

“Wachawi wanamwabudu Shetani. Lakini Shetani wanayemwabudu si Shetani Ibilisi aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu kuja kuudanganya ulimwengu wote. Ni Shetani roho ya mabadiliko, mabadiliko ya kweli, ya ufahamu kamilia ulimwengu huu ambamo sisi sote tunaishi. Wachawi, kwa maneno mengine, wanaabudu miungu – kama vile Inanna wa Mesopotamia, Isis wa Misri, Asherah wa Kaanani au Belus wa Assyria ambaye ndiye mungu wa kwanza kuabuadiwa kama sanamu duniani – iliyotwaliwa na Shetani tangu misingi ya ulimwengu huu kusimikwa. Dhambi aliyotenda Shetani mbinguni ni ndogo kuliko dhambi wanazotenda wachawi duniani, ijapokuwa dhambi aliyotenda Shetani haitaweza kusamehewa na ndiyo maana Shetani hataweza kuwasamehe wanadamu. Ni jukumu letu kuwaita wachawi wote kutoka Babeli na kuwaleta katika ukweli kama kweli wanayemwabudu ni Shetani Ibilisi, Shetani Beelzebub, Shetani Asmodeus, Shetani Leviathan, Shetani Mammon, Shetani Amon au Shetani Belphegor ambao ni mabingwa wa kiburi, uroho, zinaa, wivu, fedha, hasira na uvivu duniani. Wachawi hawajui, na usipojua waweza kufa bila kujua.”

“With God, all things are possible.”

“One of the most powerful concepts, one which is a sure cure for lack of confidence, is the thought that God is with you and helping you. This is one of the simplest teachings in religion, namely, that Almighty God will be your companion, will stand by you, help you, and see you through. No other idea is so powerful in developing self-confidence as this simple belief when practiced. To practice it simply affirm "God is with me; God is helping me; God is guiding me." Spend several minutes each day visualizing his presence. Then practice believing that affirmation.”

“My personal life may be crowded with small petty incidents, altogether unnoticeable and mean; but if I obey Jesus Christ in the haphazard circumstances, they become pinholes through which I see the face of God, and when I stand face to face with God I will discover that through my obedience thousands were blessed. When once God's Redemption comes to the point of obedience in a human soul, it always creates. If I obey Jesus Christ, the Redemption of God will rush through me to other lives, because behind the deed of obedience is the Reality of Almighty God.”

“"We, Seth, Emperor of Azania, Chief of Chiefs of Sakuyu, Lord of Wanda and Tyrant of the Seas, Bachelor of the Arts of Oxford University, being in this the twenty-fourth year of our life, summoned by the wisdom of Almighty God and the unanimous voice of our people to the throne of our ancestors, do hereby proclaim..." Seth paused in his dictation and gazed out across the harbour where in the fresh breeze of early morning the last dhow was setting sail for the open sea. "Rats," he said; "stinking curs. They are all running away."”

“Let us ask ourselves seriously and honestly, 'What do I believe after all? What manner of man am I after all? What sort of show would I make after all, if the people around me knew my heart and all my secret thoughts?" What sort of show then do I already make in the sight of Almighty God, who sees every man exactly as he is?'”

“Thanksgiving is a time for families and friends to gather together and express gratitude for all that we have been given, the freedoms we enjoy, and the loved ones who enrich our lives. We recognize that all of these blessings, and life itself, come not from the hand of man but from Almighty God.”

“Under the benignant providence of Almighty God the representatives of the States and of the people are again brought together to deliberate for the public good. The gratitude of the nation to the sovereign arbiter of all human events should be commensurate with the boundless blessings which we enjoy. Peace, plenty, and contentment reign throughout our borders, and our beloved country presents a sublime moral spectacle to the world.”

“In reading over the Constitutions of all fifty of our states, I discovered something which some of you may not know: there is in all fifty, without exception, an appeal or a prayer to the Almighty God of the universe. Through all fifty state Constitutions, without exception, there runs this same appeal and reference to God who is the Creator of our liberties and the preserver of our freedoms.”