Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Tunazaliwa, kuteseka na kufa kwa sababu ya dhambi ya asili ya wazazi wetu wa kwanza (Adamu na Hawa). Kama Hawa asingekubali kudanganywa na Shetani, tungezaliwa bila uchungu, tungeishi bila kuteseka na tusingekufa milele. Lakini haya ndiyo mawazo yangu: Mungu Ahusiki na dhambi, Ahusiki na mwili, Anahusika na roho. Hivyo, mtu anapofariki mwili unabaki duniani lakini roho inarudi kwa Mungu; kwani Yeye ndiye aliyeitengeneza na kuiweka katika moyo wa mtu. Mimi na wewe ni viumbe vyenye thamani kubwa sana mbele za Mwenyezi Mungu; mapenzi Yake kwetu hayana masharti yoyote. Hainiingii akilini (hata kidogo) kumtesa mtu unayempenda kiasi hicho milele, wakati uwezo wa kumwokoa unao.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“By the exhibition of powerful eloquence, the conscience may be roused, & the passions moved. But nothing less than the operations of an Almighty agent, sanctioning, directing,& applying the means used, can reach the heart, can impress the spirit, can change the will, can influence the life, can save the man. -- William Bengo Collyer”

“When you feel all the doors are closing. All your efforts are hopeless and a whole lot of anger, sadness, despair and frustration, take a moment to talk to the Almighty'. There is no comfort like the one you would feel after speaking to the one that will always stand by you.”