“Tunazaliwa, kuteseka na kufa kwa sababu ya dhambi ya asili ya wazazi wetu wa kwanza (Adamu na Hawa). Kama Hawa asingekubali kudanganywa na Shetani, tungezaliwa bila uchungu, tungeishi bila kuteseka na tusingekufa milele. Lakini haya ndiyo mawazo yangu: Mungu Ahusiki na dhambi, Ahusiki na mwili, Anahusika na roho. Hivyo, mtu anapofariki mwili unabaki duniani lakini roho inarudi kwa Mungu; kwani Yeye ndiye aliyeitengeneza na kuiweka katika moyo wa mtu. Mimi na wewe ni viumbe vyenye thamani kubwa sana mbele za Mwenyezi Mungu; mapenzi Yake kwetu hayana masharti yoyote. Hainiingii akilini (hata kidogo) kumtesa mtu unayempenda kiasi hicho milele, wakati uwezo wa kumwokoa unao.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Believe in this. Almighty makes life better because you deserve a better life.”
Source: Lectures on scripture facts and prophecy Volume 1
Source: Star of Persia:
Source: A Good Hard Look
Source: Woman of Virtue: Power-Filled Quotes for a Powerful Woman
Source: A Broken Woman: From a child that was loved dearly into a teen that has lost her strength
“My journey with you is complete and your journey with me is incomplete”