“Msamaha si jambo rahisi. Tunapoumizwa, au watu wetu wa karibu wanapoumizwa, tendo la kusamehe linaweza kuwa gumu kuliko matendo yote. Lakini, tambua kwamba msamaha ni mchakato wa muda mrefu unaohitaji ujasiri mkubwa kuuanza hadi kuukamilisha, ongea na watu wanaoelewa maana ya msamaha ili wakuongoze katika mchakato huo. Vilevile, tambua kwamba hata wewe umewahi kufanya makosa na unahitaji msamaha, tambua kwamba suluhisho kamili linahitaji matendo kutoka kwa aliyekosea na kwa aliyekosewa. Wengine hupendwa kwa sababu wanastahili, lakini wengine wanastahili kwa sababu hupendwa. Mungu anatupenda kwa jinsi tulivyo hata kama tunajiona hatustahili. Hivyo, jithamini.” CourageForgivenessGod Loves UsValue YourselfMsamahaUjasiriTalk To PeopleIt S Not EasySi Jambo RahisiThey DeserveA Long Time ProcessAliyekoseaAliyekosewaAll ActsJinsi TulivyoJithaminiMatendo YoteMchakato Wa Muda MrefuMungu AnatupendaOngea Na WatuOthers Are LovedPerfect SolutionSuluhisho KamiliTendo La KusameheThe Act Of ForgivingThe OffendedThe OffenderThe Way We AreTunapoumizwaWanastahiliWengine HupendwaWhen We Are Hurt Author:Enock Maregesi
“Tunasema uongo kwa sababu hatuna ujasiri wa kusema ukweli. Ukweli hautupi uhuru, unatupa upweke.” TruthFreedomCourageLonelinessLieUkweliUhuruUjasiriUongoUpweke Author:Enock Maregesi
“Kumkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wako ni ujasiri.” YesuBwanaUjasiriMwokozi Author:Enock Maregesi
“Mammon ni mungu wa pesa wa kuzimu anayesimamia mambo yote ya kifedha ulimwenguni. Ni miongoni mwa mashetani saba waliotupwa na Mwenyezi Mungu hapa duniani kutokea mbinguni akiwemo Ibilisi, Beelzebub, Asmodeus, Leviathan, Amon na Belphegor. Ibilisi ni mungu wa kiburi, Beelzebub ni mungu wa uroho, Asmodeus ni mungu wa zinaa, Leviathan ni mungu wa wivu, Amon ni mungu wa hasira na Belphegor ni mungu wa uvivu. Jukumu la mashetani hawa ni kusimamia kwa uaminifu mkubwa kutokea kuzimu dhambi kubwa saba duniani ambazo ni kiburi, uroho, zinaa, wivu, hasira, uvivu na uchoyo. Dawa ya dhambi hizo ni busara, kiasi, ujasiri, imani, haki, tumaini na upendo.” WorldLoveGodFaithHopeHeavenJusticeCourageHellHonestyPrideCharityLustWrathPrudenceFortitudeSlothTemperanceAlmighty GodMunguLuciferGluttonyLeviathanSeven Deadly SinsImaniMwenyezi MunguUpendoAsmodeusMbinguniHasiraHakiDunianiKiburiMammonIbilisiUaminifuUvivuAmonUjasiriBeelzebubBusaraKiasiKuzimuMalicious EnvyWivuBelphegorTumainiUrohoZinaaDhambi Kubwa SabaGod Of MoneyJukumu La MashetaniMashetani SabaMungu Wa PesaRole Of DevilsSeven Devils Author:Enock Maregesi
“Dunia nzima imejaa giza! Kupenya lazima uwe jasiri.” WorldDarknessBraveryDuniaGizaUjasiri Author:Enock Maregesi