“To be able to influence Tanzanian literature and African literature, and sell our books in Tanzania as well as in our continent, we need to be committed to what we do. And what we do is writing. Write as much as you can. Read as much as you can. Use the library and the internet carefully for research and talk to people, about things that matter. To make a living from writing, and make people read again in Tanzania and Africa; we must write very well, very good stories.” PeopleWritingInfluenceBooksInternetResearchLibraryCommittedAfricaReadWriteThings That MatterSellTanzaniaAfrican LiteratureContinentWhat We DoTanzanian LiteratureTalk To PeopleVery Good StoriesWrite Very Well Author:Enock Maregesi
“Msamaha si jambo rahisi. Tunapoumizwa, au watu wetu wa karibu wanapoumizwa, tendo la kusamehe linaweza kuwa gumu kuliko matendo yote. Lakini, tambua kwamba msamaha ni mchakato wa muda mrefu unaohitaji ujasiri mkubwa kuuanza hadi kuukamilisha, ongea na watu wanaoelewa maana ya msamaha ili wakuongoze katika mchakato huo. Vilevile, tambua kwamba hata wewe umewahi kufanya makosa na unahitaji msamaha, tambua kwamba suluhisho kamili linahitaji matendo kutoka kwa aliyekosea na kwa aliyekosewa. Wengine hupendwa kwa sababu wanastahili, lakini wengine wanastahili kwa sababu hupendwa. Mungu anatupenda kwa jinsi tulivyo hata kama tunajiona hatustahili. Hivyo, jithamini.” CourageForgivenessGod Loves UsValue YourselfMsamahaUjasiriTalk To PeopleIt S Not EasySi Jambo RahisiThey DeserveA Long Time ProcessAliyekoseaAliyekosewaAll ActsJinsi TulivyoJithaminiMatendo YoteMchakato Wa Muda MrefuMungu AnatupendaOngea Na WatuOthers Are LovedPerfect SolutionSuluhisho KamiliTendo La KusameheThe Act Of ForgivingThe OffendedThe OffenderThe Way We AreTunapoumizwaWanastahiliWengine HupendwaWhen We Are Hurt Author:Enock Maregesi
“It is easier to love people than to talk to them.” PhilosophyDebasish MridhaMridhaDebasishLove PeopleTalk To PeopleEasier To Love Author:Debasish Mridha