“Msamaha si jambo rahisi. Tunapoumizwa, au watu wetu wa karibu wanapoumizwa, tendo la kusamehe linaweza kuwa gumu kuliko matendo yote. Lakini, tambua kwamba msamaha ni mchakato wa muda mrefu unaohitaji ujasiri mkubwa kuuanza hadi kuukamilisha, ongea na watu wanaoelewa maana ya msamaha ili wakuongoze katika mchakato huo. Vilevile, tambua kwamba hata wewe umewahi kufanya makosa na unahitaji msamaha, tambua kwamba suluhisho kamili linahitaji matendo kutoka kwa aliyekosea na kwa aliyekosewa. Wengine hupendwa kwa sababu wanastahili, lakini wengine wanastahili kwa sababu hupendwa. Mungu anatupenda kwa jinsi tulivyo hata kama tunajiona hatustahili. Hivyo, jithamini.” CourageForgivenessGod Loves UsValue YourselfMsamahaUjasiriTalk To PeopleIt S Not EasySi Jambo RahisiThey DeserveA Long Time ProcessAliyekoseaAliyekosewaAll ActsJinsi TulivyoJithaminiMatendo YoteMchakato Wa Muda MrefuMungu AnatupendaOngea Na WatuOthers Are LovedPerfect SolutionSuluhisho KamiliTendo La KusameheThe Act Of ForgivingThe OffendedThe OffenderThe Way We AreTunapoumizwaWanastahiliWengine HupendwaWhen We Are Hurt Author:Enock Maregesi