Quotessence
Home / Topics / Tanzania Quotes

Tanzania Quotes

Browse 55 quotes about Tanzania.

Tanzania Quotes

“To be able to influence Tanzanian literature and African literature, and sell our books in Tanzania as well as in our continent, we need to be committed to what we do. And what we do is writing. Write as much as you can. Read as much as you can. Use the library and the internet carefully for research and talk to people, about things that matter. To make a living from writing, and make people read again in Tanzania and Africa; we must write very well, very good stories.”

“Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.”

“Kiswahili ni lugha ya Kibantu na lugha kuu ya kimataifa ya biashara ya Afrika ya Mashariki ambayo; maneno yake mengi yamepokewa kutoka katika lugha za Kiarabu, Kireno, Kiingereza, Kihindi, Kijerumani na Kifaransa, kutoka kwa wakoloni waliyoitawala pwani ya Afrika ya Mashariki katika kipindi cha karne tano zilizopita. Lugha ya Kiswahili ilitokana na lugha za Kisabaki za Afrika Mashariki; ambazo nazo zilitokana na Lugha za Kibantu za Pwani ya Kaskazini Mashariki za Tanzania na Kenya, zilizotokana na lugha zaidi ya 500 za Kibantu za Afrika ya Kusini na Kati. Lugha za Kibantu zilitokana na lugha za Kibantoidi, ambazo ni lugha zenye asili ya Kibantu za kusini mwa eneo la Wabantu, zilizotokana na jamii ya lugha za Kikongo na Kibenue – tawi kubwa kuliko yote ya familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri katika bara la Afrika. Familia ya lugha za Kikongo na Kibenue ilitokana na jamii ya lugha za Kiatlantiki na Kikongo; zilizotokana na familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri, ambayo ni familia kubwa ya lugha kuliko zote duniani kwa maana ya lugha za kikabila. Familia ya lugha ya Kiswahili imekuwepo kwa karne nyingi. Tujifunze kuzipenda na kuzitetea lugha zetu kwa faida ya vizazi vijavyo.”

“Usiwe na wasiwasi, Peter. Hizo ni hisia zangu tu. Huwezi kuwa mpelelezi. Lakini, kusema ule ukweli, ningependa sana kuonana na John Murphy. Kuna kazi binafsi ningependa kumpa. Wewe unatoka Afrika, hujawahi kumwona?” Debbie alizidi kumshtua Murphy. “Nani?” Murphy aliuliza huku akitabasamu. “John Murphy wa Afrika.” “Sijawahi kumwona. Mbona unamuulizia hivyo?” Debbie alitulia. Kisha akarusha nywele ili aone vizuri. “Nampenda sana!” “Kwa nini?” “Simpendi kwa mahaba, lakini.” “Ndiyo. Kwa nini?” “OK. Nampenda kwa kipaji chake. Alichopewa na Mungu, cha ujasusi. Kusaidia watu.” “Ahaa!” Murphy alidakia, sasa akifikiri sana. “Murphy ana mashabiki wengi hapa Meksiko bila yeye mwenyewe kujua, kwa sababu ya kupambana na wahalifu wa madawa ya kulevya – hasa wa huku Latino. Tatizo lake haonekani. Wengi hudhani ni hadithi tu, kwamba hakuna mtu kama huyo hapa duniani.” “Hapana! Murphy yupo! Ni mfanyabiashara maarufu huko Tanzania. Lakini ndiyo hivyo kama unavyosema ... Haonekani!”

“Kiongozi wa kanda ya Afrika ya Kusini ya Tume ya Dunia Kamishna Profesa Justin Mafuru, alijitolea maisha yake kufanya vitu viwili vya msingi kwa ajili ya dunia: Kukomesha madawa haramu ya kulevya nchini Tanzania na duniani kwa jumla, kupitia Tume ya Dunia, na kutafuta kupitia maabara za CERN ('Conseil Européen pour la Recherche Nucléaire') chembe ndogo ya 'higgs' ('Higgs Boson') inayosemekana kuhusika na uzito ('mass') wa chembe ndogo kumi na sita za atomu kasoro chembe ya mwanga; iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa 'Big Bang', miaka bilioni kumi na tatu nukta saba iliyopita kwa faida ya uanadamu.”

“Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa baba kwa familia yake. Kwa Tanzania alikuwa mlezi; wa ndoto ya haki, amani, uzalendo, ujamaa, na uhuru.”

“Kuna tetesi kuwa Julius Nyerere alipewa tuzo ya MBE na malkia wa Uingereza akiwa rais wa Tanzania! Lakini aliikataa! Kwa nini? Kwa sababu angeonekana Mwingereza zaidi kuliko Mtanzania! Januari 26, 1996 akapewa Tuzo ya Kimataifa ya Amani ya Mahatma Gandhi ya mwaka 1995, ya kwanza kabisa, iliyotolewa na Serikali ya India. Lakini hiyo pia akaikataa! Kwa sababu Mahatma Gandhi alimwaga damu katika harakati zake za kuwang'oa wakoloni barani Afrika! Kama ni kweli, hakuna kujitolea kuliko huko.”

“Ili kupambana na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya katika jamii ya Tanzania, ni muhimu kutoa elimu kwa Watanzania juu ya madhara yanayoambatana na matumizi ya madawa hayo. Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia.”

“For the rest of my life, Zanzibar will be the Swahili word for rain. The rain would drizzle, spit, mist, downpour, shower, torrent, gust, deluge and blast. At one point it hit the ground so hard it created a haze as it bounced back up two feet and fell a second time.”

“Kazi yenu kwetu ni kutusaidia, na kazi yetu kwenu ni kuwasaidia pia; kwani kila mwananchi anao wajibu wa kuisaidia serikali yake. BASATA, katika jina la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, endeleeni kuhamasisha na kuhakikisha wasanii wote nchini wanajisajili; kwa kuendelea kutoa tuzo mbalimbali za sanaa na jitihada nyingine, na kwa kuendelea kufuatilia kuhakikisha kuwa kila msanii anajisajili na kupata kibali.”

“While National Geographic magazine had given me a taste of the world, the three-dimensional details of this moment - the tickle of the rain drops, the suck sound of my feet in the mud, the challenge of getting photographs of the monkeys, my immature urge to make the driver wait even longer because he was annoying - would feed me for years to come.”

“As a Nobel Peace laureate, I, like most people, agonize over the use of force. But when it comes to rescuing an innocent people from tyranny or genocide, I've never questioned the justification for resorting to force. That's why I supported Vietnam's 1978 invasion of Cambodia, which ended Pol Pot's regime, and Tanzania's invasion of Uganda in 1979, to oust Idi Amin. In both cases, those countries acted without U.N. or international approval—and in both cases they were right to do so.”

“In Tanzania, the chimps are isolated in a very tiny patch of forest. I flew over it 13 years ago and realized that, basically, all the trees had gone, that people all around the park are struggling to survive. It became very clear that there was no way to protect the chimps while the people were in this dire circumstance.”

“Tanzania is standing by the people of Zimbabwe including President Mugabe... Mugabe is there, he is president, he has been elected. If Tanzania had simply said, stupid, you're hopeless, a murderer, a violator of basic human rights; does that remove Mugabe from office? It doesn't.”

“Just across the ocean in, say Kenya or Tanzania, a two-gender system is vital for the survival of most of the folks who live there. Men do men's work, women do women's work, and so it all gets done and the jackals can't get into the hut and eat grandpa. So, the future of the transgender movement is like the future of all human rights movements: whatever the state of things in your area now, with some work it all gets a little bit better all the time, even if it is sometimes three steps ahead and two steps back.”

“At 10 minutes to seven on a dark, cool evening in Mexico City in 1968, John Stephen Akwari of Tanzania painfully hobbled into the Olympic Stadium-the last man to finish the marathon. The winner had already been crowned, and the victory ceremony was long finished. So the stadium was almost empty and Akwari - alone, his leg bloody and bandaged - struggled to circle the track to the finish line. When asked why he had continued the grueling struggle, the young man from Tanzania answered softly: My country did not send me 9,000 miles to start the race. They sent me 9,000 miles to finish the race.”

“Having travelled to some 20 African countries, I find myself, like so many other visitors to Africa before me, intoxicated with the continent. And I am not referring to the animals, as much as I have been enthralled by them during safaris in Kenya, Tanzania and Zimbabwe. Rather, I am referring to the African peoples.”

“A zoo is not an ideal place for an animal - of course the best place for a chimp is the wilds of Tanzania - but a good zoo is a decent, acceptable place. Animals are far more flexible than we realize. IF they weren't, they wouldn't have survived. But my opinion about zoos came after research. Initially I had the opinion that most people have, that they are jails.”

“When I grew up in Tanzania, I went to school with kids who were blind and deaf, and we were all in one class. There wasn't a different class or teacher for them, so they didn't learn anything. I'm hoping to organize a school to train teachers to help children with disabilities. It's my future goal. I want to move back to Tanzania and do that eventually.”

“If you're Maasai Mara National Park in Kenya, if you're in Serengeti National Park in Tanzania, you don't get out of your vehicle and go walking around amid the lions and the leopards. You stay in your Land Rover. You stay in your safari van, and you look out the windows or you look out the pop top at these animals. I know by experience how badly that can work out if you violate those guidelines.”

“More poignant for us, at Laetoli in Tanzania are the companionable footprints of three real hominids, probably Australopithecus afarensis, walking together 3.6 million years ago in what was then fresh volcanic ash. Who does not wonder what these individuals were to each other, whether they held hands or even talked, and what forgotten errand they shared in a Pliocene dawn?”