“Kuna tetesi kuwa Julius Nyerere alipewa tuzo ya MBE na malkia wa Uingereza akiwa rais wa Tanzania! Lakini aliikataa! Kwa nini? Kwa sababu angeonekana Mwingereza zaidi kuliko Mtanzania! Januari 26, 1996 akapewa Tuzo ya Kimataifa ya Amani ya Mahatma Gandhi ya mwaka 1995, ya kwanza kabisa, iliyotolewa na Serikali ya India. Lakini hiyo pia akaikataa! Kwa sababu Mahatma Gandhi alimwaga damu katika harakati zake za kuwang'oa wakoloni barani Afrika! Kama ni kweli, hakuna kujitolea kuliko huko.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Bowling Alone: The Collapse and Revival of American Community
“There is simply no substitute for good, effective government in a democracy.”
Source: The Capitalist and the Activist: Corporate Social Activism and the New Business of Change
Source: The Pathfinder: How to Choose Or Change Your Career for a Lifetime of Satisfaction and Success
“Because I wished for everyone to live, I did everything I could.”
“Because we knew you were waiting, we did our best so that we'd return.”
Source: Interfaith Dialogue and Peacebuilding