“Kitabu cha 'Kolonia Santita' ni kitabu cha wasomi na wasiokuwa wasomi, watu wa mijini na watu wa vijijini, watu wazima, vijana na watoto. Hadhira ya kitabu hiki ni jamii nzima ya Tanzania.” PeopleChildrenBookAudienceSocietyTownsEducatedEldersTeenagersUneducatedWatuTanzaniaKolonia SantitaWatotoVillagesJamiiKitabuVijanaHadhiraMijiniVijijiniWasiokuwa WasomiWasomiWazee Author:Enock Maregesi
“Tuwape watoto wetu haki yao ya msingi ya kuwa watoto katika siku za ujana wao, kabla hawajawa watoto tena watakapokuwa wakubwa.” ChildrenYouthRightEldersTeenagersWatotoHakiFundamental RightVijanaWakubwaHaki Ya MsingiUjana Author:Enock Maregesi