“Ili kupambana na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya katika jamii ya Tanzania, ni muhimu kutoa elimu kwa Watanzania juu ya madhara yanayoambatana na matumizi ya madawa hayo. Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia.” UseFightingEducationSocietyAbuseDrugsNarcoticsRisksTanzaniaIllegal DrugsElimuJamiiMadawa Ya KulevyaMadharaMadawaMatumiziKupambanaTanzaniansWatanzaniaJamii Ya TanzaniaMadawa Ya Kutia UsingiziMatumizi MabayaTanzanian Society Author:Enock Maregesi
“Hakuna maana yoyote kupambana na Shetani katika dunia hii ambapo yeye ndiye mtawala. Pambana na Shetani katika dunia ya kiroho ambapo Shetani hana nguvu yoyote dhidi ya Yesu Kristo.” WorldPowerJesus ChristSatanFightDuniaShetaniRulerYesu KristoNguvuSpiritual WorldNo SenseDunia Ya KirohoMtawalaKupambanaHakuna Maana Author:Enock Maregesi