“Kama una akili kuwa kawaida. Kama una nguvu kuwa mkarimu. Kama una pesa kuwa mnyenyekevu. Ukitaka kuwa na akili kuwa kawaida. Ukitaka kuwa na nguvu kuwa mkarimu. Ukitaka kuwa na pesa kuwa mnyenyekevu.” SimplePowerfulRichSmartHumbleGenerousTajiriAkiliNguvuMkarimuKawaidaMnyenyekevu Author:Enock Maregesi
“If you are smart be simple. If you are powerful be generous. If you are rich be humble. If you want to be smart be simple. If you want to be powerful be generous. If you want to be rich be humble.” SimplePowerfulRichSmartHumbleGenerousTajiriAkiliNguvuMkarimuKawaidaMnyenyekevu Author:Enock Maregesi
“Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. 2 + 2 = 5. Umoja una sisi (ubinadamu), si mimi (ubinafsi). Watu wanne wakifanya kazi kwa ushirikiano watakuwa na nguvu ya watu watano! Watakuwa na nguvu ya ziada kufanikisha malengo kama vile kuwa na uwezo wa kusaidia jamii kama timu au kama mtu binafsi, kujenga jengo la ofisi, kutengeneza ziada katika masuala ya uchumi wa kampuni au nchi au wa mtu binafsi, ushindi katika kitu chochote kile, na kadhalika. Mimi ni ubinafsi. Sisi ni ubinadamu. Ubinafsi ni uvivu. Ubinadamu ni uchapakazi.” CountryHumanityIndividualWorkCompanyEconomyTeamStrengthVictoryWeaknessCapacityUnityGoalsSeparationSelfishnessCooperationLazinessIWeIndustriousMimiKaziNguvuUwezoNchiSisiUbinafsiUmojaUvivuCommunity SupportMalengoUchapakaziUbinadamuUshindiNguvu Ya ZiadaTimuExtra StrengthFive PeopleFour PeopleUtenganoWatu WanneWatu WatanoBuild An Office BuildingKampuniKujenga Jengo La OfisiKusaidia JamiiKutengeneza ZiadaMtu BinafsiProducing ExtraUchumiUdhaifuUshirikiano Author:Enock Maregesi
“Sababu ya kupanda na kuanguka kwa mataifa ni ya kimaadili na kiroho. Hakuna taifa linaloweza kutegemea nguvu na mali zake ili kujiokoa kutokana na madhara ya ukiukwaji wa maadili.” NationsPowerPropertyMoralsNationMaliNguvuTaifaMaadiliMataifa Author:Enock Maregesi
“Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. 2 + 2 = 5. Umoja una sisi, si mimi. Watu wanne wakifanya kazi kwa ushirikiano, watakuwa na nguvu ya watu watano, watakuwa na nguvu ya ziada.” PowerUnitySeparationCooperationNguvuUnity Is StrengthUmojaNguvu Ya Ziada2 2 5Five PeopleFour PeopleUtenganoWatu WanneWatu WatanoExtra PowerHakuna Mimi Katika UmojaNo I In A TeamSeparation Is WeaknessUmoja Hauna MimiUmoja Ni NguvuUmoja Una SisiUnity Doesn T Have IUnity Has WeUtengano Ni Udhaifu Author:Enock Maregesi
“ATP inaweza kukusaidia kupata akili na nguvu ya kufanya jambo ambalo katika hali ya kawaida lisingewezekana. Wakati mwingine unaweza kufanya jambo hata wewe mwenyewe ukashangaa umelifanyaje. Unaweza kwa mfano kufukuzwa na mnyama mkali ukapenya mahali ambapo, katika hali ya kawaida usingepenya. Sasa usishangae tena. Kilichofanya upenye ni ATP.” AnimalKnowledgePowerAkiliNguvuAtpMnyama Author:Enock Maregesi
“Kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa raha ni rahisi kuliko kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa shida, na utahitaji imani kuendelea kumwamini wakati wa dhiki. Vipindi vigumu katika maisha yetu hutokea kwa kila mmoja wetu. Kuamini ya kwamba Mungu ana makusudi ya lazima kukuondolea vikwazo katika maisha yako ni vigumu sana wakati mwingine, lakini imani ndicho kitu cha muhimu zaidi unachotakiwa kuwa nacho katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa. Amani ya Mungu, ambayo huzidi hekima na maarifa yote ya kibinadamu, ni kuliamini neno la Mungu kwamba ni la kweli. Bila imani hutaweza kumfurahisha Mungu. Imani ni ufunguo wa nguvu, uwezo na neema ambavyo Mungu ametupangia. Kwa ufupi, Mungu ni mkubwa kuliko wewe na matatizo yako.” LifeGodFaithAbilityPowerGraceDifficultyObstaclesProblemsComfort ZoneMunguKeyMaishaMatatizoImaniMwenyezi MunguNguvuUwezoGod AlmightyDeliberatelyPeace Of GodDunia Imekata TamaaWorld Has Given UpMakusudiNeemaUfunguoVikwazoAmani Ya MunguDhikiWakati Wa Raha Author:Enock Maregesi
“Hakuna maana yoyote kupambana na Shetani katika dunia hii ambapo yeye ndiye mtawala. Pambana na Shetani katika dunia ya kiroho ambapo Shetani hana nguvu yoyote dhidi ya Yesu Kristo.” WorldPowerJesus ChristSatanFightDuniaShetaniRulerYesu KristoNguvuSpiritual WorldNo SenseDunia Ya KirohoMtawalaKupambanaHakuna Maana Author:Enock Maregesi
“Kuajiri ndugu kunaathiri nguvu ya mamlaka.” PowerRelativeNguvuEmployNduguPower DynamicKuajiriNguvu Ya Mamlaka Author:Enock Maregesi
“Mungu anapokupa kipaji anategemea ukitumie vizuri kwa ajili ya wengine. Usipokitumia vizuri kwa ajili ya wengine, ama kwa uvivu au kwa woga, atawapa wengine wakitumia kwa ajili yako. Ukitumia vipaji vyako vizuri, Mungu atakuongezea maradufu. Yaani, ukitumia muda wako vizuri atakuongezea muda. Ukitumia nguvu zako vizuri atakuongea nguvu. Ukitumia pesa yako vizuri atakuongezea pesa. Ukitumia ukarimu wako vizuri atakuongezea ukarimu. Ukitumia maarifa yako vizuri atakuongezea maarifa.” GodTimeFearMoneyKnowledgePowerTalentGenerosityLazinessTalentsOthersMunguPesaMudaMaarifaNguvuWengineKipajiWogaVipajiUvivuUkarimuTwice As MuchMaradufu Author:Enock Maregesi
“Tafuta kitu cha kufanya katika maisha yako unachokiamini zaidi kuliko pesa, kutoa sauti kwa ajili ya watu wasioweza kusikika kwa mfano, na ukishakipata kuwa kiongozi na mkarimu kwa wengine. Kutoa sauti kwa ajili ya watu wasioweza kusikika inaweza kuwa ndiyo nafasi yako uliyopangiwa na Mungu uitumie kwa manufaa ya wengine, si kwa manufaa yako, nafasi za wengine zitatumika kwa manufaa yako. Kuna vitu vingi ambavyo mtu anaweza kufanya; chagua kimoja kinacholeta maana zaidi katika maisha yako na ukifanye hicho, kwa nguvu zako zote.” PeopleLifeGodEnergyVoiceMoneyLeaderBenefitsGenerousThingsPlaceSenseSearchMunguSomethingMaishaWatuPesaNguvuKiongoziMaanaKituSautiMkarimuNafasiTafutaVituManufaa Author:Enock Maregesi
“Kuamsha ATP lazima kwanza ukate tamaa. Lazima kwanza uishiwe na nguvu. Kisha ujilazimishe, au ulazimishwe na mazingira, kufanya jambo.” PowerNguvuAtpKukata TamaaTo Give Up Author:Enock Maregesi
“Usijali sana kupoteza kile ulichonacho, bali jali sana kupoteza nguvu iliyosababisha ukipate.” PowerNguvuWhat You HaveKile Ulichonacho Author:Enock Maregesi
“Mtu akikutukana mwambie asante au samahani. Asante au samahani vina nguvu kuliko kuomba (asikutukane) au kutukana.” PowerfulPowerPraiseSorryAppreciationThanksManWomanInsultThank YouPrayersRudenessAffrontMtuNguvuMaombiKuombaSifaKushukuruAsanteSamahani Author:Enock Maregesi
“Ukitaka kujua vipaji vyako ulivyopewa na Mungu mtumikie Mungu katika kitu fulani kwa nguvu zako zote.” GodEnergyTalentsMunguNguvuVipaji Author:Enock Maregesi
“Ukitaka kumsahau mtu au kitu usimchukie au usikichukie kwa sababu kuchukia kuna nguvu sawa na kupenda.” PowerHatredLovingPersonThingMtuHatingNguvuKituChukiKupendaKuchukia Author:Enock Maregesi
“Licha ya matatizo yanayotokea tunapaswa kujua kwa imani kwamba Mungu asiyeonekana na mwenye nguvu bado yuko kwenye kiti chake cha enzi, akisimamia kila kitu kinachoendelea, huku akijua bayana kwamba mapenzi yake lazima yatimie, bila kujali watu wasiomwamini wenye upofu wa rohoni.” GodFaithPowerProblemsMunguMatatizoImaniNguvuSpiritual BlindnessUpofu Wa Rohoni Author:Enock Maregesi
“Nguvu unayotumia kumchukia mtu itumie nguvu hiyohiyo kumpenda.” LovePowerUpendoNguvu Author:Enock Maregesi