Quotessence
Home / Topics / Mali Quotes

Mali Quotes

Browse 38 quotes about Mali.

Mali Quotes

“Usimwabudu mungu mwingine isipokuwa Mungu. Usimwabudu mtu, mnyama, sanamu, samaki, au usiziabudu fikira zako kichwani. Usiitumikie kazi, mali, mila, anasa, siasa, wala usiyatumikie mamlaka au usiutumikie umaarufu au ufahari, kuliko Mungu. Ukiithamini kazi, mali, mila, anasa, siasa au ukiyathamini mamlaka, au ukiuthamini umaarufu au ufahari zaidi kuliko Mungu, au ukiyapa majukumu yako muda mwingi zaidi kuliko Mungu umeabudu miungu; wakati ulipaswa kumwabudu Mungu peke yake. Usiwe na vipaumbele vingine vyovyote vile katika maisha yako zaidi ya Mungu, kwani Mungu ni Mungu mwenye wivu.”

“Wakati mwingine inaweza kuonekana kuwa kadiri unavyozidi kujitolea kwa ajili ya watu wengine ndivyo unavyozidi kuwa maskini, lakini hii si kweli. Huduma kwa ajili ya watu wengine huleta maana fulani na ukamilifu katika maisha yetu kwa namna ambayo utajiri, madaraka na mali haviwezi kushindana nao. Mungu hababaishwi na kiasi gani unatoa. Anababaishwa na imani uliyonayo wakati unatoa. Ukitoa kidogo inatosha. Ukitoa kingi inatosha pia.”

“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na gari ndogo aina Nissan Terrano, iliyotokea Ijumaa tarehe 5/9/2014 katika eneo la Sabasaba mjini Musoma. Kulingana na vyombo vya habari, watu 39 wamefariki dunia. Wengine wengi wamejeruhiwa vibaya. Mali za mamilioni ya fedha zimeteketea kabisa. Hii ni ajali mbaya na ya kusikitisha mno kwa maana halisi ya maneno mabaya na ya kusikitisha. Maneno hayataweza kuelezea kikamilifu huzuni niliyonayo juu ya ajali hii ya kutisha, lakini Mungu awasaidie wale wote waliofiwa au walioguswa na ajali hiyo kwa namna yoyote ile, na awasamehe marehemu wote dhambi zao na awapumzishe mahali pema peponi. Wale wote waliofariki hawataweza kurudi huku, lakini sisi tutakwenda huko.”

“Lakini ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba utajiri una changamoto nyingi kuupata na kuudumisha pia kuliko usomi na kwamba ukweli ni amani ya Mungu katika moyo wa mwanadamu. Heri msomi kuliko tajiri – Heri yule aliyesoma kuliko tajiri asiyesoma au yule aliyesoma kuliko vile alivyosoma tajiri au tajiri asiyesoma au aliyesoma lakini asiyekuwa na tamaa kabisa na dunia hii ambaye kukosa kwake tamaa na dunia hii kunamfanya msomi. Ndivyo Kristo anavyomaanisha. Si kwamba tajiri hawezi kuuona ufalme wa mbinguni. Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yusufu, Daudi, Sulemani, Yehoshafati, Hezekia, Zakayo, Yoana, Susana, na Lidia watauona ufalme wa mbinguni na walikuwa matajiri. Mali zao zilivyozidi hawakuangalia moyoni, hawakuwa na tamaa kabisa na dunia hii, bali walimtumaini Mungu kwa kila kitu walichokuwa nacho. Anaweza. Lakini asiipende dunia bali ayapende mambo ya ufalme wa Mungu kwa moyo wake wote.”

“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari. Unahangaika upite wapi kufika baharini, ambapo utaogelea kwa kadiri utakavyoweza. Utakapofika baharini, watu, badala ya kusema umebarikiwa, watasema umelaaniwa, badala ya kukuita malaika, watakuita shetani. Mafanikio hayapimwi kwa pesa au mali kiasi gani unayo, mafanikio yanapimwa kwa amani ya moyo au maisha ya watu kiasi gani umeboresha.”

“We are a city that has had Islam for one thousand years. We had the greatest teachers and universities. And now these Bedouins, these illiterates, these ignoramuses, tell us how to wear our pants, and how to say our prayers, and how our wives should dress, as if they were the ones who invented the way?”

“Maana halisi ya ukarimu si kutoa vitu au mali nyingi kwa watu wanaohitaji msaada, bali ni kutoa vitu au mali hizo bila kinyongo au unafiki wowote. Ukarimu unapaswa kutolewa kwa watu sahihi, wakati sahihi, kiasi sahihi na kwa moyo mmoja bila kinyongo chochote. Ukitoa kwa lengo la kupata faida, huo ni ubinafsi na unafiki mkubwa.”

“And there are also languages that divide nouns into much more specific genders. The African language Supyire from Mali has five genders: humans, big things, small things, collectives, and liquids. Bantu languages such as Swahili have up to ten genders, and the Australian language Ngan’gityemerri is said to have fifteen different genders, which include, among others, masculine human, feminine human, canines, non-canine animals, vegetables, drinks, and two different genders for spears (depending on size and material).”

“I never experimented with the hoddu like I wanted to do. Like on the song "Allah Addu," the hoddu and the voice is something that belongs to West African culture. When you go to the north of Mali, in the past it was just the singer and one instrument player. We never really did have that on our CDs. On some other songs, like "Laare Yoo," we have a whole section of hoddu, something like four of them playing together.”

“Those organisations, al-Qaeda being the first one, have all settled in areas full of mining and oil resources or in geostrategic zones. They settled in Afghanistan which underground is filled with oil and lithium. North Mali is filled with mining resources (uranium). It is essential to question the impact and role of some international players that create or let those organisations settle there.”

“There are markets extending from Mali, Indonesia, way outside the purview of any one government which operated under civil laws, so contracts weren't, except on trust. So they have this free market ideology the moment they have markets operating outside the purview of the states, as prior to that markets had really mainly existed as a side effect of military operations.”

“I have the mohawk,even though people still call it the mohawk I say "I don't wanna be disrespectful to the Mohican Indians but there is a tribe in Africa called the Mandinka warriors." They're in the west coast of Africa in the country of Mali.I was reading National Geographic Magazine back in 1977, and I saw the warrior standing there with his spear and his beads around his neck and whatnot and the stuff on his ankles. That was what gave me the idea, I said "Wow, let me bring respect to them," so basically what I wear is called a Mandinka cut.”

“When I'm asked about the relevance to Black people of what I do, I take that as an affront. It presupposes that Black people have never been involved in exploring the heavens, but this is not so. Ancient African empires - Mali, Songhai, Egypt - had scientists, astronomers. The fact is that space and its resources belong to all of us, not to any one group.”