“Lakini ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba utajiri una changamoto nyingi kuupata na kuudumisha pia kuliko usomi na kwamba ukweli ni amani ya Mungu katika moyo wa mwanadamu. Heri msomi kuliko tajiri – Heri yule aliyesoma kuliko tajiri asiyesoma au yule aliyesoma kuliko vile alivyosoma tajiri au tajiri asiyesoma au aliyesoma lakini asiyekuwa na tamaa kabisa na dunia hii ambaye kukosa kwake tamaa na dunia hii kunamfanya msomi. Ndivyo Kristo anavyomaanisha. Si kwamba tajiri hawezi kuuona ufalme wa mbinguni. Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yusufu, Daudi, Sulemani, Yehoshafati, Hezekia, Zakayo, Yoana, Susana, na Lidia watauona ufalme wa mbinguni na walikuwa matajiri. Mali zao zilivyozidi hawakuangalia moyoni, hawakuwa na tamaa kabisa na dunia hii, bali walimtumaini Mungu kwa kila kitu walichokuwa nacho. Anaweza. Lakini asiipende dunia bali ayapende mambo ya ufalme wa Mungu kwa moyo wake wote.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Protecting Miss Jenna
Source: Gone with the wind
Source: Narrative of the Life of Frederick Douglass
“Much Madness is Divinest Sense Much Sense the Starkest Madness”
Source: much madness is diviniest sense
Source: Small Orange Fruit
Source: Protecting Miss Jenna
Source: Protecting Miss Jenna
“Meanwhile, I learned my future depended not on the plans of another, but on fate and myself.”
Source: Old Burnside
Source: And He Dwelt Among Us: Teachings from the Gospel of John
“When you begin to reason with the Lord, your attitude to the issues of life will change.”
Source: The Prince and the Pauper