“Ufalme wa mbinguni uko juu. Akili ya binadamu iko juu. Kupata Amri Kumi za Mungu, Musa alipanda juu katika mlima Sinai. Yesu alijaribiwa na Shetani akiwa juu katika jangwa la Yuda. Ukifanikiwa tunasema uko juu. Tai hawezi kuona vizuri akiwa chini anaweza kuona vizuri akiwa juu. Ulaya na Amerika tunaita majuu kwa sababu ziko juu ya ikweta. Kwa nini juu? Kwa sababu juu kuna utukufu.” MindJesusMosesTen CommandmentsYesuAkiliThe Kingdom Of HeavenMusaAmri Kumi Za MunguUfalme Wa Mbinguni Author:Enock Maregesi
“Lakini ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba utajiri una changamoto nyingi kuupata na kuudumisha pia kuliko usomi na kwamba ukweli ni amani ya Mungu katika moyo wa mwanadamu. Heri msomi kuliko tajiri – Heri yule aliyesoma kuliko tajiri asiyesoma au yule aliyesoma kuliko vile alivyosoma tajiri au tajiri asiyesoma au aliyesoma lakini asiyekuwa na tamaa kabisa na dunia hii ambaye kukosa kwake tamaa na dunia hii kunamfanya msomi. Ndivyo Kristo anavyomaanisha. Si kwamba tajiri hawezi kuuona ufalme wa mbinguni. Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yusufu, Daudi, Sulemani, Yehoshafati, Hezekia, Zakayo, Yoana, Susana, na Lidia watauona ufalme wa mbinguni na walikuwa matajiri. Mali zao zilivyozidi hawakuangalia moyoni, hawakuwa na tamaa kabisa na dunia hii, bali walimtumaini Mungu kwa kila kitu walichokuwa nacho. Anaweza. Lakini asiipende dunia bali ayapende mambo ya ufalme wa Mungu kwa moyo wake wote.” HeartTruthChristChallengesWealthRichPropertyEducatedAbrahamJacobIsaacSolomonDavidAmaniJosephMaliTajiriMoyoUkweliGod S KingdomUtajiriSusanLidiaKristoPeace Of GodIbrahimuMsomiYakoboChangamotoDaudiIsakaUfalme Wa MbinguniYusufuDunia HiiHuman S HeartSulemaniZakayoHezekiaHezekiahMoyo Wa MwanadamuPeace Ya MunguSusanaYehoshafatYehoshafatiYoanaZacchaeus Author:Enock Maregesi
“Dunia imekata tamaa. Matatizo ya watu yamekuwa makubwa kuliko ukombozi wa maisha yao. Sekunde moja ya toba inaweza kukupa ufalme wa mbinguni. Hujachelewa.” PeopleWorldLifeSalvationRepentanceProblemsKingdom Of HeavenDuniaMaishaWatuSecondMatatizoSekundeDunia Imekata TamaaUfalme Wa MbinguniWorld Has Given UpTobaHujachelewaUkomboziYou Are Not Late Author:Enock Maregesi