Quotessence
Home / Topics / Second Quotes

Second Quotes

Browse 57 quotes about Second.

Second Quotes

“Destiny gets compressed, you know, into just that small fraction of a second you have right in front of you at any one time. And there’s nothing romantic about keeping your head down to avoid getting shot, or trying to save a friend who’s been injured, or coming face to face with a creature who is as smart and mean and as terrified of dying as you are, and who wants to make sure that if someone is left on the ground there, it’s you and not it.”

“Watu wa zamani katika Agano la Kale walikuwa wakiabudu miungu iliyotengenezwa kwa mawe na vinyago. Miungu hiyo haikuwa na chochote ndani mbali na kutengenezwa kwa akili na fikira za kibinadamu. Hii ilikuwa ni kinyume cha ukweli wa Kibiblia kwamba Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake, lakini si mtu aliyejaa dhambi kumtengeneza Mungu kwa mfano wake. Kuabudu miungu mingine ni dhambi kubwa. Tii Amri Kumi za Mungu; hasa ya kwanza, ya pili na ya tatu.”

“Actually, Elizabeth realized, when he laughed like that, he did look quite handsome. His dark brown hair and his eyes, so light a brown as to seem almost gold in color, were not quite as nondescript as she'd once thought. Maybe the giggling young ingenues weren't completely daft. Despite his maddening tendencies to be deliberately obtuse and tease her relentlessly, he had a certain charisma.”

“She knows her timing, always knows. The time to strike or the time to starve. Her eyes as a clock, she watches she waits she learns, and in the second she blinks, she changes her mind just like that.”

“Not every environment accepts the dream shaping progress you want to put across. Take a second look at what you dream about, be sure it can progress very well where you are; Hiroshima and Nagasaki are not fertile grounds for a farmer’s dream seeds. Go and relocate!”

“Siri ya mafanikio yako ni chumba chako. Dali linasema anga ndicho kipimo cha kufikiria; Dirisha linasema utazame nje uone fursa zilizopo ulimwenguni; Feni linasema uwe mtulivu usikurupuke kufanya lolote; Kalenda inasema uwe mtu anayekwenda na wakati; Kioo kinasema ujitazame na ujiamini kabla ya kutenda lolote; Kitabu cha dini kinasema unapaswa kumwamini Mungu ili uishi; Kitanda kinasema ujifunze kuwa na likizo; Mlango unasema usipitwe na fursa ya aina yoyote ile hapa duniani; Saa inasema kila sekunde ina thamani sana katika maisha yako hivyo tumia muda wako vizuri. Amka uishi.”

“We are inside this plasma, and plasma is inside everything. It is incandescent in the sun, and I am curious to know if you are able to stop orbiting yourself around it even for a second. No, you are not able to do this, but you are able to stop the truths from being spoken. All the absurd things are cool. Their spirits lose their oxygen ions to generate that matter in no pain. The spiritual things are in pulsing metamorphosis to break into pieces, or to turn back after a hard but reversing process before becoming anachronistic.”

“There's nothing as useful as the truth, in terms of ruining anyone's day, week, month, year, decade, or life… Unless, of course, you own a remotely operated automatic flamethrower-drone-tower and have some marinated pork-chops on your person, to lure unsuspecting dogs in close proximity to it, but since dogs don’t really have lives - by using this specific method of torture, you can only improve the remaining few seconds of their existence.”

“If you want to know the value of one year, just ask a student who failed a course. If you want to know the value of one month, ask a mother who gave birth to a premature baby. If you want to know the value of one hour, ask the lovers waiting to meet. If you want to know the value of one minute, ask the person who just missed the bus. If you want to know the value of one second, ask the person who just escaped death in a car accident. And if you want to know the value of one-hundredth of a second, ask the athlete who won a silver medal in the Olympics.”

“Ukiwa makini, nadhani, utapata maana ya ujumbe unaopewa na Roho Mtakatifu kwa wale wanaomwamini Mungu au ‘daemon’ (tofauti na ‘demon’) kwa wale wasiomwamini Mungu. Mimi, kwa mfano, huwa najali muda. Jicho langu likicheza au kiungo changu chochote cha mwili kikiuma ghafla na kuacha, au hata kisipoacha, jambo lolote ninalolifikiria muda huo ambapo jicho linacheza au kiungo changu cha mwili kinauma najua ni ujumbe kutoka kwa Mungu na una uhusiano na jambo hilo ninaloliwaza. Hivyo, kuanzia sekunde hiyo napaswa kuwa makini sana na jambo lolote ninalolifikiria.”

“Akili yangu itakaponipeleka kwa mgonjwa hospitalini halafu sekunde hiyohiyo jicho langu likacheza au kiungo changu chochote cha mwili kikauma na kuacha ghafla ‘bila’ sababu yoyote, najua kile ninachokifikiria kuhusu mgonjwa huyo ama kitatokea au hakitatokea. Nikifikiria amepona, halafu ghafla kichwa kikaniuma na kuacha, kitakuwa kinyume chake. Yaani, hatapona. Nikifikiria amekufa, halafu ghafla kichwa au kiungo kingine chochote kikaniuma na kuacha, kitakuwa kinyume chake pia. Yaani, hatakufa. Hivyo, nikifikiria amepona, nikifikiria amekufa, na kichwa kikaniuma na kuacha, sekunde hiyohiyo natakiwa kumwombea mgonjwa huyo. Kama ni kupona, apone kama Mungu alivyokusudia; na kama ni kufa, afe kama Mungu alivyokusudia. Si kama Shetani alivyokusudia.”