“Siri ya mafanikio yako ni chumba chako. Dali linasema anga ndicho kipimo cha kufikiria; Dirisha linasema utazame nje uone fursa zilizopo ulimwenguni; Feni linasema uwe mtulivu usikurupuke kufanya lolote; Kalenda inasema uwe mtu anayekwenda na wakati; Kioo kinasema ujitazame na ujiamini kabla ya kutenda lolote; Kitabu cha dini kinasema unapaswa kumwamini Mungu ili uishi; Kitanda kinasema ujifunze kuwa na likizo; Mlango unasema usipitwe na fursa ya aina yoyote ile hapa duniani; Saa inasema kila sekunde ina thamani sana katika maisha yako hivyo tumia muda wako vizuri. Amka uishi.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“But you said you love me. You don’t just leave after that.”
Source: On Writing
Source: African Assignment: A Collection of Short Stories
Source: Agnes Grey
Source: City on Fire
Source: The Great American Whatever
“The sky is grey, with a thin TV-static drizzle that hangs in the air like it's been freeze-framed.”
Source: The End Of Mr. Y
Source: Brothers of the Wild North Sea