“Watu wa zamani katika Agano la Kale walikuwa wakiabudu miungu iliyotengenezwa kwa mawe na vinyago. Miungu hiyo haikuwa na chochote ndani mbali na kutengenezwa kwa akili na fikira za kibinadamu. Hii ilikuwa ni kinyume cha ukweli wa Kibiblia kwamba Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake, lakini si mtu aliyejaa dhambi kumtengeneza Mungu kwa mfano wake. Kuabudu miungu mingine ni dhambi kubwa. Tii Amri Kumi za Mungu; hasa ya kwanza, ya pili na ya tatu.” MindIdeasGodBibleStonesManGodsOld PeopleIdolatryOld TestamentMunguSinsFirstSecondBibliaDhambiAkiliBinadamuThirdKwanzaMiunguAgano La KaleA Great SinDhambi KubwaFikiraMitiTatuKuabudu MiunguMan In His ImageMaweMtu Kwa Mfano WakeObey Ten Commandments Of GodPiliTii Amri Kumi Za MunguVinyagoWatu Wa Zamani Author:Enock Maregesi
“Hirtelen furcsa állatkát pillantott meg az útszélen. Tatu. Olyan, mint egy tatu. Nem is tudom, hol él a tatu valójában. Majd megnézem a neten -” ArmadilloTatu Book:Remélem, örülsz Source: Remélem, örülsz