“Watu wa zamani katika Agano la Kale walikuwa wakiabudu miungu iliyotengenezwa kwa mawe na vinyago. Miungu hiyo haikuwa na chochote ndani mbali na kutengenezwa kwa akili na fikira za kibinadamu. Hii ilikuwa ni kinyume cha ukweli wa Kibiblia kwamba Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake, lakini si mtu aliyejaa dhambi kumtengeneza Mungu kwa mfano wake. Kuabudu miungu mingine ni dhambi kubwa. Tii Amri Kumi za Mungu; hasa ya kwanza, ya pili na ya tatu.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Church Dogmatics 1.2: The Doctrine of the Word of God
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book