“Upendeleo na msamaha ni sumu na baraka ya usuluhishi miongoni mwa watu kwa mpangilio huo. Yaani, upendeleo ni sumu ya usuluhishi, msamaha ni baraka ya usuluhishi. Usuluhishi wenye msamaha, usiokuwa na upendeleo wowote, ni dawa ya uhusiano mwema miongoni mwa watu. Upendeleo ni sumu ya usuluhishi – Msamaha ni kiuasumu cha usuluhishi.” PeopleRelationshipBlessingForgivenessPoisonReconciliationAntidoteFavorWatuMsamahaBarakaSumuUhusianoUpendeleoKiuasumuRespectivelyUsuluhishiKwa Mpangilio Huo Author:Enock Maregesi
“Usuluhishi ni dawa ya uhusiano mwema miongoni mwa watu.” PeopleRelationshipMedicineReconciliationGood RelationshipWatuDawaUhusianoUsuluhishiUhusiano Mwema Author:Enock Maregesi
“Ukiwa makini, nadhani, utapata maana ya ujumbe unaopewa na Roho Mtakatifu kwa wale wanaomwamini Mungu au ‘daemon’ (tofauti na ‘demon’) kwa wale wasiomwamini Mungu. Mimi, kwa mfano, huwa najali muda. Jicho langu likicheza au kiungo changu chochote cha mwili kikiuma ghafla na kuacha, au hata kisipoacha, jambo lolote ninalolifikiria muda huo ambapo jicho linacheza au kiungo changu cha mwili kinauma najua ni ujumbe kutoka kwa Mungu na una uhusiano na jambo hilo ninaloliwaza. Hivyo, kuanzia sekunde hiyo napaswa kuwa makini sana na jambo lolote ninalolifikiria.” GodBodyCarefulMeaningHoly SpiritDemonConnectionMunguMessageShetaniSecondDaemonMwiliRoho MtakatifuMaanaSekundeI ThinkMakiniUhusianoUjumbeJicho LanguKiungo ChanguMy EyeMy OrganBeing CarefulI Care About TimeNadhaniNajali MudaThose Who Believe In GodThose Who Do Not Believe In GodUkiwa MakiniWale Wanaomwamini MunguWale Wasiomwamini Mungu Author:Enock Maregesi