“Akili yangu itakaponipeleka kwa mgonjwa hospitalini halafu sekunde hiyohiyo jicho langu likacheza au kiungo changu chochote cha mwili kikauma na kuacha ghafla ‘bila’ sababu yoyote, najua kile ninachokifikiria kuhusu mgonjwa huyo ama kitatokea au hakitatokea. Nikifikiria amepona, halafu ghafla kichwa kikaniuma na kuacha, kitakuwa kinyume chake. Yaani, hatapona. Nikifikiria amekufa, halafu ghafla kichwa au kiungo kingine chochote kikaniuma na kuacha, kitakuwa kinyume chake pia. Yaani, hatakufa. Hivyo, nikifikiria amepona, nikifikiria amekufa, na kichwa kikaniuma na kuacha, sekunde hiyohiyo natakiwa kumwombea mgonjwa huyo. Kama ni kupona, apone kama Mungu alivyokusudia; na kama ni kufa, afe kama Mungu alivyokusudia. Si kama Shetani alivyokusudia.” BodyPatientDeadHealedHeadacheSecondMwiliMy MindSekundeJicho LanguKiungo ChanguMy EyeMy OrganWill HappenAfe Kama Mungu AlivyokusudiaAkili YanguAmekufaAmeponaApone Kama Mungu AlivyokusudiaAs Satan PurposedBila Sababu YoyoteDead As God PurposedHakitatokeaHatakufaHataponaHealed As God PurposedHospitaliniIn The HospitalKama Shetani AlivyokusudiaKichwa KikaniumaKitakuwa Kinyume ChakeKitatokeaKumwombea MgonjwaMgonjwaPray For The SickWill Be Its ContraryWill Not DieWill Not EscapeWill Not HappenWithout Any Reason Author:Enock Maregesi
“The only thing that is sure about the future is that it will happen. The only thing not sure about the future is what will happen".” FutureWill Happen Author:Ronald Green