“Ufalme wa mbinguni uko juu. Akili ya binadamu iko juu. Kupata Amri Kumi za Mungu, Musa alipanda juu katika mlima Sinai. Yesu alijaribiwa na Shetani akiwa juu katika jangwa la Yuda. Ukifanikiwa tunasema uko juu. Tai hawezi kuona vizuri akiwa chini anaweza kuona vizuri akiwa juu. Ulaya na Amerika tunaita majuu kwa sababu ziko juu ya ikweta. Kwa nini juu? Kwa sababu juu kuna utukufu.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“The key to overcoming doubt is faith.”
Source: More than Questions
“Ukipata shida itakupa akili ya kufanikiwa, kwani shida ni kipimo cha akili.”
Source: Taming Flame
Source: Taming Flame
Source: 17 Reasons Why Businesses Fail :Unscrew Yourself From Business Failure