“Usimwabudu mungu mwingine isipokuwa Mungu. Usimwabudu mtu, mnyama, sanamu, samaki, au usiziabudu fikira zako kichwani. Usiitumikie kazi, mali, mila, anasa, siasa, wala usiyatumikie mamlaka au usiutumikie umaarufu au ufahari, kuliko Mungu. Ukiithamini kazi, mali, mila, anasa, siasa au ukiyathamini mamlaka, au ukiuthamini umaarufu au ufahari zaidi kuliko Mungu, au ukiyapa majukumu yako muda mwingi zaidi kuliko Mungu umeabudu miungu; wakati ulipaswa kumwabudu Mungu peke yake. Usiwe na vipaumbele vingine vyovyote vile katika maisha yako zaidi ya Mungu, kwani Mungu ni Mungu mwenye wivu.” IdeasGodTimePoliticsAnimalFameAuthorityPropertyPrioritiesLuxuryManJobGodsYour LifePrestigeFishWorship GodMunguResponsibilitiesMtuMaliCustomStatueKaziMudaMaisha YakoMamlakaMnyamaMiunguSiasaMilaSanamuAnasaFikiraJealous GodSamakiUmaarufuKumwabudu MunguMajukumuMungu Mwenye WivuUfahariVipaumbele Author:Enock Maregesi
“Usiifundishe familia yako anasa. Ifundishe upendo, unyenyekevu na hofu ya Mungu. Ukiifundisha anasa utahatarisha maisha ya mbinguni ya familia yako, na ya kwako pia.” LoveFamilyLuxuryHumblenessFamiliaFear Of GodUpendoHofu Ya MunguUnyenyekevuAnasaHeaven S LifeMaisha Ya Mbinguni Author:Enock Maregesi