“Usimwabudu mungu mwingine isipokuwa Mungu. Usimwabudu mtu, mnyama, sanamu, samaki, au usiziabudu fikira zako kichwani. Usiitumikie kazi, mali, mila, anasa, siasa, wala usiyatumikie mamlaka au usiutumikie umaarufu au ufahari, kuliko Mungu. Ukiithamini kazi, mali, mila, anasa, siasa au ukiyathamini mamlaka, au ukiuthamini umaarufu au ufahari zaidi kuliko Mungu, au ukiyapa majukumu yako muda mwingi zaidi kuliko Mungu umeabudu miungu; wakati ulipaswa kumwabudu Mungu peke yake. Usiwe na vipaumbele vingine vyovyote vile katika maisha yako zaidi ya Mungu, kwani Mungu ni Mungu mwenye wivu.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“I don’t want fame, money, or duty. I want to close my eyes and see your loving beauty.”
“Mercy, how we do so often love to immortalize those despised and forgotten in life.”
Source: The Rise and Fall of the Bible: The Unexpected History of an Accidental Book
“I cannot deal with obscurity for more than a few decades before I get the worst ache in my chest.”
Source: Flies to Wanton Boys
Source: Haywire
“Who was he if not destined for fame?”
Source: The Song of Achilles
Source: fear of flying