“Maisha tunayoishi ni mafupi, maisha ya mbinguni ni ya milele. Fundisha familia yako upendo na hofu ya Mungu, kwani hiyo ndiyo akili kushinda zote. Hekima ya kutunza familia inapatikana katika kitabu cha Mithali cha Agano la Kale.” LoveLifeBrainForeverIntelligenceLife Is ShortOld TestamentMaishaFear Of GodAkiliUpendoMileleHofu Ya MunguAgano La KaleBook Of ProverbsFamily WisdomHeaven S LifeMaisha Ya MbinguniHekima Ya Kutunza FamiliaKitabu Cha MithaliMaisha Ni Mafupi Author:Enock Maregesi
“Usiifundishe familia yako anasa. Ifundishe upendo, unyenyekevu na hofu ya Mungu. Ukiifundisha anasa utahatarisha maisha ya mbinguni ya familia yako, na ya kwako pia.” LoveFamilyLuxuryHumblenessFamiliaFear Of GodUpendoHofu Ya MunguUnyenyekevuAnasaHeaven S LifeMaisha Ya Mbinguni Author:Enock Maregesi