“Ukila kiapo cha uaminifu, kwa mfano, kwa jina la Mwenyezi Mungu, kisha uaminifu huo ukakushinda, nini kitatokea? Laana! Yaani, badala ya kubarikiwa, utalaaniwa na Mungu.” GodHonestyCurseBlessingsOathMunguLaanaUaminifuBarakaKiapo Author:Enock Maregesi
“Pesa ina thamani pale unapokuwa nayo, si pale unapokuwa huna, hivyo iweke mahali unapoweza kuiona: katika nyumba, katika shamba au katika elimu. Badala ya kumpa mtu pesa ili ajenge nyumba, mpe nyumba. Badala ya kumpa mtu pesa ili afanye biashara, mpe biashara. Halafu, mpe elimu afanye maamuzi ya biashara yake. Pesa ina laana na Mungu pekee ndiye anayeweza kuiondoa laana hiyo. Ni rahisi kwa tajiri kupata baraka ya pesa kwa sababu ana pesa na ana uwezo mkubwa wa kusaidia maskini. Ni vigumu kwa maskini kupata baraka ya pesa kwa sababu hana au ana uwezo mdogo wa kusaidia maskini. Mungu anaweza kuondoa laana ya pesa kupitia hisani kwa maskini, kitu ambacho aghalabu hufanywa na matajiri wenye uwezo mkubwa. Heri kutoa kitu au huduma au elimu kwa maskini kuliko pesa.” GodHouseMoneyBusinessEducationBlessingValueManDecisionsCurseServiceWealthyPhilanthropyNeedyPlaceMunguFarmThingMtuMaskiniPesaTajiriLaanaElimuKituMaamuziThamaniBarakaHudumaMahaliNyumbaBiasharaFinancial CurseHisaniLaana Ya PesaShamba Author:Enock Maregesi
“Watu hubariki wenzao ambao ni wakarimu, na hulaani wenzao ambao ni wabahili. Ukiwa mkarimu kwa watu umekopa neema kutoka kwa Mungu, na Mungu atakulipa kutokana na matendo yako.” PeopleGodProsperityCurseBlessMunguWatuStingyGenerous PeopleActsBorrowLaanaMatendoNeemaBarikiKopaWakarimu Author:Enock Maregesi
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari. Unahangaika upite wapi kufika baharini, ambapo utaogelea kwa kadiri utakavyoweza. Utakapofika baharini, watu, badala ya kusema umebarikiwa, watasema umelaaniwa, badala ya kukuita malaika, watakuita shetani. Mafanikio hayapimwi kwa pesa au mali kiasi gani unayo, mafanikio yanapimwa kwa amani ya moyo au maisha ya watu kiasi gani umeboresha.” PeopleLifeGodSuccessMoneySeaTalentOceanAngelPropertyCurseSatanRiverMunguShetaniMaishaWatuPeace Of HeartMaliPesaMafanikioLaanaKipajiMalaikaAmani Ya MoyoMtoBahariniEntrance To The SeaMlango Wa Bahari Author:Enock Maregesi
“Taifa ni malaika! Taifa ni Shetani! Laana ya mwenye haki ina haki.” AngelCurseSatanRightNationShetaniLaanaHakiMalaikaTaifa Author:Enock Maregesi
“Sikujui.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestUniquenessBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi Author:Enock Maregesi
“Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii. Zifuatazo ni ngazi tano muhimu zitakazofanya uache dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta: Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka; Tumia kipaji ulichopewa na Mungu; Fanya kazi kwa bidii na maarifa; Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia; Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Ukitambua vitu vya muhimu katika maisha yako hapa duniani na kuvipa kipaumbele cha kwanza, ukatumia kipaji ulichopewa na Mungu na ukafanya kazi kwa bidii na maarifa, halafu ukashindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia, ukafanya kila kitu kwa makini ukihofia maamuzi ya ubongo wako, utaacha urithi kwa faida ya vizazi vijavyo. Kuwa na akili, kuwa na uwezo wa kujiwekea malengo, kuwa mchapakazi hodari. Namna hiyo, hakuna kitakachoweza kushindikana.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Tumia kipaji ulichopewa na Mungu.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Fanya kazi kwa bidii na maarifa!” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi