Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Ukitambua vitu vya muhimu katika maisha yako hapa duniani na kuvipa kipaumbele cha kwanza, ukatumia kipaji ulichopewa na Mungu na ukafanya kazi kwa bidii na maarifa, halafu ukashindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia, ukafanya kila kitu kwa makini ukihofia maamuzi ya ubongo wako, utaacha urithi kwa faida ya vizazi vijavyo. Kuwa na akili, kuwa na uwezo wa kujiwekea malengo, kuwa mchapakazi hodari. Namna hiyo, hakuna kitakachoweza kushindikana.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“The best posture you can adopt when pursuing your goals is neither to stand nor sit. The best position is to STANDOUT! Everyone may be sitting; but don't sit! Many people may be standing; but don't just stand. When you stand, be outstanding!”

“Don’t be retarded; excellence is “status quo discarded”. Look ahead and don’t see the little things you do now as the final products to ever stand out of your personal actions!”