“Ukitambua vitu vya muhimu katika maisha yako hapa duniani na kuvipa kipaumbele cha kwanza, ukatumia kipaji ulichopewa na Mungu na ukafanya kazi kwa bidii na maarifa, halafu ukashindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia, ukafanya kila kitu kwa makini ukihofia maamuzi ya ubongo wako, utaacha urithi kwa faida ya vizazi vijavyo. Kuwa na akili, kuwa na uwezo wa kujiwekea malengo, kuwa mchapakazi hodari. Namna hiyo, hakuna kitakachoweza kushindikana.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: The Great Hand Book of Quotes
Source: The Great Hand Book of Quotes
Source: The Great Hand Book of Quotes
“You can not achieve anything if you just sit and complain.Try your best with everything you have.”
Source: The Great Hand Book of Quotes