Maskini Quotes
Browse 32 quotes about Maskini.
Maskini Quotes
“Maskini hana nidhamu ya mapato na matumizi. Tajiri ana nidhamu ya mapato na matumizi.”
“Maskini hajali wewe ni nani. Anajali utu ndani ya moyo wako.”
“Maskini hudhani ubinafsi ni kitu kibaya. Tajiri hudhani ubinafsi ni kitu kizuri.”
“Maskini hudhani kuwa tajiri lazima usome sana. Tajiri hudhani kuwa tajiri si lazima usome sana.”
“Maskini hupenda kuburudishwa kuliko kuelimishwa. Tajiri hupenda kuelimishwa kuliko kuburudishwa.”
“Maskini hufanya kazi kwa bidii kupata pesa. Tajiri hutumia pesa kupata pesa.”
“Maskini ni mdogo kuliko matatizo yake. Tajiri ni mkubwa kuliko matatizo yake.”
“Fikiri kama anavyofikiri tajiri. Ukifikiri tofauti na anavyofikiri tajiri, utakufa maskini.”
“Mungu hataki tuwe maskini, kwani fedha na dhahabu ni mali yake. Anachotaka kutoka kwetu, zaka.”
“Usipoonekana maskini hawataonekana. Usipotembea maskini hawatatembea.”