“Maskini hajali wewe ni nani. Anajali utu ndani ya moyo wako.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Maskini hudhani ubinafsi ni kitu kibaya. Tajiri hudhani ubinafsi ni kitu kizuri.”
“Maskini hudhani kuwa tajiri lazima usome sana. Tajiri hudhani kuwa tajiri si lazima usome sana.”
“Maskini hupenda kuburudishwa kuliko kuelimishwa. Tajiri hupenda kuelimishwa kuliko kuburudishwa.”
“Maskini hufanya kazi kwa bidii kupata pesa. Tajiri hutumia pesa kupata pesa.”