Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Utajiri wa mbinguni ni wa milele na mungu wake ni Yehova. Utajiri wa duniani ni wa muda na mungu wake ni Mammon. Mammon, ambaye hata Yesu alimtaja katika Injili ya Mathayo 6 na katika Injili ya Luka 16, ni mungu wa uchoyo na utajiri wa dunia hii. Mammon kazi yake ni kufanya watu waliokufa kifedha na walio hai kifedha kuwa maskini wa milele ahera. Yesu Kristo alikuwa maskini, ili tuwe matajiri kupitia umaskini wake, lakini kwa sababu alikuwa na imani ya Mungu katika moyo wake alikuwa tajiri. Hivyo unaweza kuwa na utajiri wa mbinguni hapa duniani, ukiikaribisha amani ya Mungu katika moyo wako.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Mammon ni mungu wa pesa wa kuzimu anayesimamia mambo yote ya kifedha ulimwenguni. Ni miongoni mwa mashetani saba waliotupwa na Mwenyezi Mungu hapa duniani kutokea mbinguni akiwemo Ibilisi, Beelzebub, Asmodeus, Leviathan, Amon na Belphegor. Ibilisi ni mungu wa kiburi, Beelzebub ni mungu wa uroho, Asmodeus ni mungu wa zinaa, Leviathan ni mungu wa wivu, Amon ni mungu wa hasira na Belphegor ni mungu wa uvivu. Jukumu la mashetani hawa ni kusimamia kwa uaminifu mkubwa kutokea kuzimu dhambi kubwa saba duniani ambazo ni kiburi, uroho, zinaa, wivu, hasira, uvivu na uchoyo. Dawa ya dhambi hizo ni busara, kiasi, ujasiri, imani, haki, tumaini na upendo.”

“Wachawi wanamwabudu Shetani. Lakini Shetani wanayemwabudu si Shetani Ibilisi aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu kuja kuudanganya ulimwengu wote. Ni Shetani roho ya mabadiliko, mabadiliko ya kweli, ya ufahamu kamilia ulimwengu huu ambamo sisi sote tunaishi. Wachawi, kwa maneno mengine, wanaabudu miungu – kama vile Inanna wa Mesopotamia, Isis wa Misri, Asherah wa Kaanani au Belus wa Assyria ambaye ndiye mungu wa kwanza kuabuadiwa kama sanamu duniani – iliyotwaliwa na Shetani tangu misingi ya ulimwengu huu kusimikwa. Dhambi aliyotenda Shetani mbinguni ni ndogo kuliko dhambi wanazotenda wachawi duniani, ijapokuwa dhambi aliyotenda Shetani haitaweza kusamehewa na ndiyo maana Shetani hataweza kuwasamehe wanadamu. Ni jukumu letu kuwaita wachawi wote kutoka Babeli na kuwaleta katika ukweli kama kweli wanayemwabudu ni Shetani Ibilisi, Shetani Beelzebub, Shetani Asmodeus, Shetani Leviathan, Shetani Mammon, Shetani Amon au Shetani Belphegor ambao ni mabingwa wa kiburi, uroho, zinaa, wivu, fedha, hasira na uvivu duniani. Wachawi hawajui, na usipojua waweza kufa bila kujua.”

“Wachawi wanaabudu miungu ambayo ndani yake kuna Shetani, aliyesababisha Ibilisi achague mabaya badala ya mema kabla Mungu hajamfukuza mbinguni. Shetani ndani yake kuna Shetani. Huyo Shetani aliyeko ndani ya Shetani, anayeitwa Roho ya Mabadiliko ya Kweli ya Ufahamu Kamili wa Siri ya Uumbaji wa Mungu (kwani ukiijua siri ya uumbaji wa Mungu unakuwa kama Mungu), ndiye anayeabudiwa na wachawi.”

“You can't stop the thought about hell, probably you know that it doesn't exist as far as I can tell you and some other type of sources. But what happen with the serial killers?? THe brutal killers, they go to heaven??? - Really?? So there isn't communication between hell and heaven so they put all in one place?? - WTF, how big this soul planet is it? 200000000000000000000000000 People even and more are there and everyday you see new born child or children and old people or young people die.... Okay some die because of start of smoke at early age, other people start to smoke and drink alcohol because other have said them it's incrediable to drink, you aren't a human without a drink, you can't be in our group if you don't drink and many other stuff (as Alan Macmillan Orr said in his book The Little book of life)... - Did you knew that there are stuff which believers don't know or know and still believe?? You should check out the holy book what's said think little and then do whatever you are on the way to do. - As first I just read a an article called "Souls do not Exist Evidence from Science & Philosophy Against Mind-Body Dualism" what I read it will blow your mind. I'm sure if you believe in god the % will go low or probably you will change you direction... As far as I'm on the road I can tell that there are people which read this and this and this and continue to believe, but it's WRITTEN BLACK ON WHITE THE TRUTH AND THEY PREFER TO STAY IN THE COMFORT ZONE, BECAUSE THERE IS COMFORT IF THEY COME HERE THERE WON'T BE COMFORT FOR THE FEW WEEKS, MONTHS OR EVEN YEARS, THEY NEED TO BUILD EVERYTHING LIKE AGAIN, LIKE YOU HAVE RESET YOUR SCORE AT GAME AND YOU START AGAIN AND AGAIN...”

“What if you had seen haven open as Stephen did, and all the saints there triumphing in glory, and enjoying the end of their labours and sufferings, what a life would you lead after such a sight as this! Why, you will see this with your eyes before it be long. Thou hast the more cause to doubt a great deal, because thou never didst doubtl and yet more because thou hast been so careless in thy confidence. What do these expressions discover, but a wilful neglect of thy own salvation? As a shipmaster that should let his vessel alone, and mind other matters, and say, I will venture it among the rocks, and sands, and gulfs, and waves, and winds; I will never touble myself to know wheter it shall come safe to the harbour; I will trust God with it; it will speed as well as other men's vessels do. Indeed, as well as other men's that are as careless and idle, but not so well as other mens's that are diligent and watchful. What horrible abuse of God is this, for men to pretend that they trust God with their souls only to cloak their own wilful negligence! (290-291)”

“Though every man naturally abhorreth sorrow, and loves the most merry and joyful life; yet few do love the way to joy, or will endure the pains by which it is obtained; they will take the next that comes to hand, and content themselves with earthly pleasures, rather than they will ascend to heaven to seek it ;l and yet when all is done, they must have it there, or be without it (491).”