“Maskini huamini unahitaji pesa kupata pesa. Tajiri huamini utapata pesa kwa kutumia pesa za wengine.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Fikiri kama anavyofikiri tajiri. Ukifikiri tofauti na anavyofikiri tajiri, utakufa maskini.”
“Mungu hataki tuwe maskini, kwani fedha na dhahabu ni mali yake. Anachotaka kutoka kwetu, zaka.”
Source: Crepuscule
“Usipoonekana maskini hawataonekana. Usipotembea maskini hawatatembea.”
Source: Mendel's Principles of Heredity